Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni chawa ya wapi!!??Msikilizeni wenyewe....Tena kwa mdomo.
Yetu macho
Ahsante kwa taarifa, tutaifanyia kazi.Msikilizeni wenyewe....Tena kwa mdomo.
Yetu macho
Tusikilize kwa "mdomo" au kwa masikio?Msikilizeni wenyewe....Tena kwa mdomo.
Yetu macho
Ya mbupu.Hii ni chawa ya wapi!!??
Fusiemu wanakosa maarifa kabisa.
Fisiemu wamechafuka sana kwenye uadilifu. Niwashauri wanapoelekea uchahuzi mkuu 2025 watu kama hawa wasi-waentertain wawapige marufuku
Kakosea nini tena? Si msamiati tu huo.Hii sio sawa kabisa, taratibu tunarudi tulikotoka kwa Musiba na wenzie.
Wahusika ndiyo kina nani?Anawakosea wahusika adabu.
Huo msamiati tu.Kasema anataka kuzaa kwa mdomo.....
Wewe una boriti sawasawa na yeye, huwezi kuona.Kakosea nini tena? Si msamiati tu huo.
Kusikia nasikia, mwisho kaelezea anamaanisha nini.Wewe una boriti sawasawa na yeye, huwezi kuona.
Sawa...bas na wewe siku ukijichanganya Faiza nitazaa na weweHuo msamiati tu.
Hivi wewe lugha yako mama ni ipi?
Ndiyo maana, jifundishe Kiswahili kabla hujakurupuka.Sina hakika sana kati ya mndendeule au mnyagatwa