Chawa, Machawa!

Chawa, Machawa!

Kimwakaleli

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2018
Posts
7,755
Reaction score
11,737
Hamjambo wanaJF,

Hili neno chawa au Machawa Huwa najiuliza maswali mengi bila majibu!Nikiwa Mtanzania Mwenye afya ya akili timamu huwa najiuliza sana, mtu anawezaje kujiita au kuitwa Chawa!Nikiwa mdogo mwaka 1985Nilikuwa na miaka kumi na Tano

Nilibahatika kukaa na Babu na Bibi yangu huko Mbeya_Mwakaleli wilaya ya Rungwe kwa wakati huo kwa sasa ni wilaya ya Busokelo. Babu na Bibi yangu walinisii sana niwe msafi, nifue nguo, nioge mara kwa mara pamoja na baridi Kali ya huko ili nisije kupata Chawa!

Sasa huu msemo wa mtu au watu kuitwa Chawa au Machawa!Hii Ndio Nini Sasa !maana chawa ni wadudu mazalia ya uchafu wa nguo na mwili uliopitiliza!,Chawa(Machawa)wa Mbunge, Waziri! kweli chawa HAPANA!
 
Binadamu ni creature hatari zaidi Duniani. Sidhani kama unaweza kumudu kuwafuatilia.

Jambo la msingi ni ishi maisha yako vile nafsi yako inaridhia, mambo mengine waachie wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binadamu ni creature hatari zaidi Duniani. Sidhani kama unaweza kumudu kuwafuatilia.

Jambo la msingi ni ishi maisha yako vile nafsi yako inaridhia, mambo mengine waachie wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mdogo wangu Ndio tufikie kujiita chawa,enzi zetu waliitwa wapambe!Linapendeza chawa jamaa yake kunguni,kiroboto,kupe ona wasivyopendwa!Sasa chawa!
 
Mkuu umekula kwanza?
Muulize Maimatha mkubwa wa machawa.
Licha kukataliwa uvccm kagoma km chawa walivyo.
 
Back
Top Bottom