Hili suala la ushoga na LGBT kwa ujumla limekaa vibaya kwa siasa za kimataifa. Binafsi nadhani ni kitu ambacho itabidi kutoongelea kabisa au kuongelea kwa tahadhari kubwa.
Ni kweli kama nchi ina watu wengi ambao hatupendi hili jambo, lakini pia tukumbuke hatuko peke yetu duniani. Ndo maana hata Serikali hawawezi kuliongelea na kutoa mwelekeo kwamba sisi kuhusu LGBT mwelekeo wetu ni huu.
Sasa imezuka tabia ya Chawa wengi wa CCM huko mitandaoni sasa hivi kujaribu kuhusisha chama cha CHADEMA kuwa kina support ushoga. Unapo unaposema CHADEMA wana support Ushoga maana yake unasema CCM hawa support ushoga.
Hivi wanajua madhara ambayo tunaweza kupata kama nchi kwa ujinga huo wanaofanya?
Je, wanajua kwamba kwa kuihusisha CHADEMA na ushoga wanaipalia moto CCM?
Nadhani pamoja na uchawa inabidi tuweke maslahi ya nchi mbele. Chawa wa vyama vyote wanatakiwa kujua ni nini cha kuongea na kipi si cha kuongea hasa linapikuja suala la mahusiani ya kimataifa.
Ni hayo tu
Ni kweli kama nchi ina watu wengi ambao hatupendi hili jambo, lakini pia tukumbuke hatuko peke yetu duniani. Ndo maana hata Serikali hawawezi kuliongelea na kutoa mwelekeo kwamba sisi kuhusu LGBT mwelekeo wetu ni huu.
Sasa imezuka tabia ya Chawa wengi wa CCM huko mitandaoni sasa hivi kujaribu kuhusisha chama cha CHADEMA kuwa kina support ushoga. Unapo unaposema CHADEMA wana support Ushoga maana yake unasema CCM hawa support ushoga.
Hivi wanajua madhara ambayo tunaweza kupata kama nchi kwa ujinga huo wanaofanya?
Je, wanajua kwamba kwa kuihusisha CHADEMA na ushoga wanaipalia moto CCM?
Nadhani pamoja na uchawa inabidi tuweke maslahi ya nchi mbele. Chawa wa vyama vyote wanatakiwa kujua ni nini cha kuongea na kipi si cha kuongea hasa linapikuja suala la mahusiani ya kimataifa.
Ni hayo tu