Chawa wa mwafulani mnanufaika nini na huo uchawa?

Chawa wa mwafulani mnanufaika nini na huo uchawa?

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Nadhani ingekuwa vema kama mngekuwa chawa wa nchi badala ya mtu. Kwasabb mtu anapita tu ktk hiyo nafasi, lkn nchi ikiharibika hatuna pa kukimbilia. Si mnaiona mifano ya Ukraine na Palestine (pale Gaza)?

Tusimame imara ktk kutete nchi yetu kwa kuwakosoa viongozi wenye mwenendo mbaya ktk madaraka yao. Tuachane na tabia ya kutibu njaa ya siku moja ama njaa ya kizzazi chetu, tutibu njaa ya Sasa na ya kizazi kijacho.

Machawa wote hovyo kabisa!
 
Mdee alifanya la maana sana kupinga udikteta wa Mbowe.

Mdee ni shujaaa, mwanamke wa shoka

Njaa ndiyo imemfanya mbowe kuanza kupokea ruzuku inayotokana na wabunge aliowaita haramu
 
Back
Top Bottom