Pre GE2025 Chawa wa Rais Samia wapokelewa na kupongezwa Zanzibar, waahidiwa kupewa Ushirikiano na Serikali

Pre GE2025 Chawa wa Rais Samia wapokelewa na kupongezwa Zanzibar, waahidiwa kupewa Ushirikiano na Serikali

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Heparin

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2021
Posts
242
Reaction score
1,141


Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman amewapokea na kuwakaribisha Chawa wa Rais Samia huko Zanzibar na kuwaahidi kuwa Serikali ipo nao na inaunga mkono mambo wanayofanya.

Aidha, amewaomba kuendelea kuyasema yale mema na mazuri yanayofanywa na Rais Samia pamoja na Rais Mwinyi ili yaeleweke kwa watu.

Amewaomba wafanye kazi hiyo kwa umakini na kuwashirikisha wahusika na wamepongezwa kwa kukubali kuunga mkono juhudi za Serikali.

Pia soma: Pre GE2025 - PICHA: Machawa wa ankali (Dkt. Mwinyi) na Generation Samia (GEN S) washirikiana kuandaa Pilau Day Zanzibar

Tabia ya uchawa naona imekita mizizi, sasa imegeuka kuwa kazi rasmi.
 
View attachment 3254834

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman amewapokea na kuwakaribisha Chawa wa Rais Samia huko Zanzibar na kuwaahidi kuwa Serikali ipo nao na itawaunga mkono.

Aidha, amewaomba kuendelea kuyasema yale mema na mazuri yanayofanywa na Rais Samia pamoja na Rais Mwinyi ili yaeleweke kwa watu.

Amewaomba wafanye kazi hiyo kwa umakini na kuwashirikisha wahusika na wamepongezwa kwa kukubali kuunga mkono juhudi za Serikali.

Pia soma: Pre GE2025 - PICHA: Machawa wa ankali (Dkt. Mwinyi) na Generation Samia (GEN S) washirikiana kuandaa Pilau Day Zanzibar

Tabia ya uchawa naona imekita mizizi, sasa imegeuka kuwa kazi rasmi.
Aisee,
So uchawa ni kazi rasmi Sasa. Hongera awamu ya sita Kwa kuongeza ajira
 
ni jambo jema sana juhudi za serikali ya mama zikipata wakuzisemea kwa wale wasiokua na taarifa au wenye tarifa potofu sioni tatizo, hawa vijana ni wazalendo waliomua kubeba hili jukumu kizalendo.
 
View attachment 3254834

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman amewapokea na kuwakaribisha Chawa wa Rais Samia huko Zanzibar na kuwaahidi kuwa Serikali ipo nao na inaunga mkono mambo wanayofanya.

Aidha, amewaomba kuendelea kuyasema yale mema na mazuri yanayofanywa na Rais Samia pamoja na Rais Mwinyi ili yaeleweke kwa watu.

Amewaomba wafanye kazi hiyo kwa umakini na kuwashirikisha wahusika na wamepongezwa kwa kukubali kuunga mkono juhudi za Serikali.

Pia soma: Pre GE2025 - PICHA: Machawa wa ankali (Dkt. Mwinyi) na Generation Samia (GEN S) washirikiana kuandaa Pilau Day Zanzibar

Tabia ya uchawa naona imekita mizizi, sasa imegeuka kuwa kazi rasmi.
Nice nani mshauri wa rais?
 
Mwanao mmoja akiwa chawa pia ni sawa sio ?
Naomba usinitafsiri vibaya nikaonekana kama najitapa ama najidai, machawa ni watu kutoaka kwenye familia masikini wa kutupwa, uchawa ni sawa na ombaomba, tofouti yao, machawa wanaomba kwa matajiri na kupata kikubwa. Mtoto yoyote wa familia bora hawezi kuwa chawa!.

Mimi sijidai ila alhamdidulahi, nina watoto 9, wakubwa 4 ni grafuates wa vyuo vya maana!. 2 wako secondari za maana, hakuna mtoto yoyote aliyesoma academy anaweza kuwa chawa!.

Machawa mostly ni St Kayumba na ma jobless, nawaunga mkono ndio ajira mpya in town inayolipa sana kipindi cha uchaguzi!.
P
 
Hao ni vijana wazalendo wa taifa hili wenye kumcha Mwenyezi Mungu sana kwa kujua kuwa ukimheshimu na kumthamini kiongozi wako basi umeichukua vyema ahadi ya Mwenyezi Mungu !

#Mwenyezi Mungu awahifadhi wale wote wanaompenda na kumthamini Rais wetu ,aaaaamin aaamin!

#Ndimi mjamaa wa kiafrika!
 
ni jambo jema sana juhudi za serikali ya mama zikipata wakuzisemea kwa wale wasiokua na taarifa au wenye tarifa potofu sioni tatizo, hawa vijana ni wazalendo waliomua kubeba hili jukumu kizalendo.
Hakika mkuu...

Baadhi ya watu wanajaribu "kutwist" ukweli wa hao vijana wenzetu.....

Kama uchawa ungekuwa ni tishio kwa usalama wa taifa letu hakika hao waliozuru Zanzibar kamwe wasingeonekana kufanya hayo.....
 
Vijana tumeanza kuielewa dunia kuwa huko NJE kwa akina Trump hakuna "wajomba"...tumeamua tuzididishe mapenzi kwa VIONGOZI wetu.....tumeamua kuwa mithili ya wale vijana wa Mao Tse Tung kipindi kile cha "JUU YA VITA VIREFU".....
 
Back
Top Bottom