LGE2024 CHDEMA: Mkoa wa DSM wenye Mitaa 636 Wamekatwa majina ya Wagombea wetu 571 wamebaki 45 tu

LGE2024 CHDEMA: Mkoa wa DSM wenye Mitaa 636 Wamekatwa majina ya Wagombea wetu 571 wamebaki 45 tu

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani Boniface Jacob amesema mkoa wa DSM una Mitaa 636 na Wagombea wa Chadema 571 wamekatwa na kubaki 45 tu

Watanzania Kwa Umoja wenu mnaombwa kuiombea Chadema

Boniface Jacob amesema ukurasani X

Baadae Mlale unono 🤣huku Mkimkumbuka Shujaa 😂

----
Mkoa wa Dar es Salaam wenye mitaa 636 wamekata majina ya wagombea wa CHADEMA 571. Wamebaki wagombea 45 tu

Dar es salaam yenye wajumbe wa Serikali za mitaa 3,822 wamekata majina ya wagombea wa ujumbe kupitia CHADEMA 3711, wamebakia 111 tu

Watendaji wa Kata na Mitaa wamepewa maelekezo ya kutowateua wagombea wa CHADEMA.

Wagombea wachache walioachwa bila kuenguliwa, kuna mkakati wa kuwaondoa wote kupitia mapingamizi.

Wagombea wa CCM wamepewa maelekezo ya kuwawekea mapingamizi wagombea hao wachache wa CHADEMA ili CCM wabaki pekee yao kwa 100%.

Kazi hii inafanywa na wakurugenzi wa Halmashauri, Wakuu wa Wilaya (DC) na Wakuu wa Usalama wa Taifa (DSO) wa Wilaya zote za Dar es Salaam

Haya ni majaribu makubwa lakini tutayashinda na Dar es salaam itaenda kuandika historia ya kutetea na kuhami Demokrasia.

Tutapambana mapambano ambayo hayajawahi kutokea,Mimi nitaongoza mapambano haya.

Boniface Jacob
Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani.
 
Dah, kmmke walai, 😂haya sababu ni nini mmeambiwa?
 
Chadema nao waje na njia mbadala, hii ya kulalamika Kila siku haisaidii, uchaguzi uliopita walisusa uchaguzi ccm wakaongoza mitaa yote, kulikua na impact Gani ya kususa? Nothing at all!!! Mnalalamikia watu wanajiita vyura viziwi


Kwa ccm hii bila kupambana nao barabarani yaani kimeno meno hakuna kitu kitachobadilika
 
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani Boniface Jacob amesema mkoa wa DSM una Mitaa 636 na Wagombea wa Chadema 571 wamekatwa na kubaki 45 tu

Watanzania Kwa Umoja wenu mnaombwa kuiombea Chadema

Boniface Jacob amesema ukurasani X

Baadae Mlale unono 🤣huku Mkimkumbuka Shujaa 😂
Wafuatilie sababu ili warekebisho. Mambo mengine sio ya kuomba bali ya kufanyia kazi
 
Mjiangalie pia mnaleta watu wa aina gani.

Je wana elimu gani??

Fomu walijaza vipi??

Huwa mnawapa semina??

Isije kuwa mnalaumu tu generally wakati pia na nyie mmechangia na hamtaki kusema ukweli.
CCM ina madiwani kibao hawajui kusona wala kuandika achilia mbali wenyeviti wa vijijini na mitaa, unakuwaga na ujinga mwingi sana wewe
 
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani Boniface Jacob amesema mkoa wa DSM una Mitaa 636 na Wagombea wa Chadema 571 wamekatwa na kubaki 45 tu

Watanzania Kwa Umoja wenu mnaombwa kuiombea Chadema

Boniface Jacob amesema ukurasani X

Baadae Mlale unono 🤣huku Mkimkumbuka Shujaa 😂

----
Mkoa wa Dar es Salaam wenye mitaa 636 wamekata majina ya wagombea wa CHADEMA 571. Wamebaki wagombea 45 tu

Dar es salaam yenye wajumbe wa Serikali za mitaa 3,822 wamekata majina ya wagombea wa ujumbe kupitia CHADEMA 3711, wamebakia 111 tu

Watendaji wa Kata na Mitaa wamepewa maelekezo ya kutowateua wagombea wa CHADEMA.

Wagombea wachache walioachwa bila kuenguliwa, kuna mkakati wa kuwaondoa wote kupitia mapingamizi.

Wagombea wa CCM wamepewa maelekezo ya kuwawekea mapingamizi wagombea hao wachache wa CHADEMA ili CCM wabaki pekee yao kwa 100%.

Kazi hii inafanywa na wakurugenzi wa Halmashauri, Wakuu wa Wilaya (DC) na Wakuu wa Usalama wa Taifa (DSO) wa Wilaya zote za Dar es Salaam

Haya ni majaribu makubwa lakini tutayashinda na Dar es salaam itaenda kuandika historia ya kutetea na kuhami Demokrasia.

Tutapambana mapambano ambayo hayajawahi kutokea,Mimi nitaongoza mapambano haya.

Boniface Jacob
Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani.
Mchengerwa kalewa mamlaka aliyopewa na mama mkwe wake.. asubiri hukumu KUU.
SOON MUNGU WETU SOTE
 
Back
Top Bottom