Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Jamaa ni mtulivu, anajiamini ,ana skills hatumii nguvu, Inonga akipona tutakuwa na ukuta imara sana kazi kwa viungo na washambuliajiHuyu jamaa aisee, amenikumbusha mbali sana, sijui victor Costa, sijui Aston Pardon, sijui Juma Limonga, sijui marehemu Nico Bambaga, sijui George Masatu, sijui Frank Kassanga Bwalya, sijui Patrick Betwel, siju Boniface Pawasa, sijui Deo Njohole, sijui Mustafa Hoza, sijui Amri Said, sijui Julio aliemkab Majid Musisi, sijui Godwin Aswile.
Che Fondoh Malone ama electrical fence.
HahahSiku pep guadiola akimwona tumekwisha
Ahsante,huna baya,,😅😂Siku pep guadiola akimwona tumekwisha
Shida ya simba ni viungo. Wanapwaya sana moves zote zinapotelea hapo katikati.Huyu jamaa aisee, amenikumbusha mbali sana, sijui Victor Costa, sijui Aston Pardon, sijui Juma Limonga, sijui marehemu Nico Bambaga, sijui George Masatu, sijui Frank Kassanga Bwalya, sijui Patrick Betwel, siju Boniface Pawasa, sijui Deo Njohole, sijui Mustafa Hoza, sijui Amri Said, sijui Julio aliemkab Majid Musisi, sijui Godwin Aswile.
Che Fondoh Malone ama electrical fence.
Siku pep guadiola akimwona tumekwisha
Umecoment kinyonge sanaMtamkataa tu
Nakwambia mkuu huyu che Guevara hana tofauti na Nathan akeAhsante,huna baya,,😅😂
vitu vya pep kabisa hivi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂 na wasiwasi na wewe, kama si mchawi sijuijamaa ni wakawaida sana,sio mtulivu kama unavyosema ana makosa mengi ni vyema mkajipa mda kuliko kupiga Mapambio haya yote
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Umeona kama mm huyu jamaa yuko fit sana said ya wachezaji wore wa simba, yaani wachazaji wetu wengi nguvu hamna midebwedo kinomaamezaliwa kwaajili ya ulinzi.
sema wenzake wengi vibonde nguvu hawana wanamchosha sana
mikisoni sijui bado Ana kitete gani?wachezaji wasimba wengi mdebwedo sijui wanapewa mazoezi yaaina gani
Mimi Simba ila anae sajili yanga anajicho pana sana wachezaji wana nguvu vizuri sana.mfano yaoyao kama huna nguvu humsumbui hata kidogo maamae☹️yupo fiti
hawa wanyonge wetu sijui wanawatoaga wapi faiting hawana kabisa kidogo mzamiru na kibu wanajitahidi.chemalon yupo fiti angeenda yanga yule tunge taabika sana
kwenye ligi sijaona Tim yakutoa droo na yanga zaidi yakuchezea kichapo maana dah wapo vyedi sana.