Che Malone beki wa Simba muda ulikuwa haujafika kuonesha ubovu wake

Che Malone beki wa Simba muda ulikuwa haujafika kuonesha ubovu wake

bryan2

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2016
Posts
3,323
Reaction score
4,679
Yes Che mallone beki kutoka Cameroon aliyesajiliwa kwa mikwara mingi kutoka Cotton sports ya kwao Cameroon ulikua ni muda tu hujafika kuona panapovuja waswahili wanasema wacha inyeshe tuone panapovuja.

Jumapili Yanga ilikua mvua kubwa na ilinyesha haswa tukaona pale Simba panapovuja kama ni matundu yanayopitisha mvua pale Simba ni Mengi mnoo palivuja haswa sio yule kiungo wao aliyeibwa airport wala mzee wa kuchapa Inonga wala beki wa Yeriko Che malone au mshambuliaji wa Etoo Onana.

sio Ajabu leo wanasimba wote tunataka kikosi kivunjwe chote na tuanze upya au kuwapandisha hata madogo wa under 20 waje wacheze, zile sifa zote za Wachambuzi leo wanasimba hawataki kuzisikia kabisa washafahamu walikua wanapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa.

Back to the topic Che Malone kwa sisi tunaoutazama mpira kwa jicho la tatu bado hana vigezo vya kuitwa beki katili ni mzito hana kasi kwa kifupi anacheza soft football sema tu ligi yetu inakosa washambuliaji wakali kwangu bado Onyango mtu chuma anakua beki bora kwanza ana mbio pia ni mzuri kwa man to man football, tangia onyango anacheza Simba hawajawahi kula chuma 5 kutoka kwa Yanga.

Ukiangalia Cotton sports kwenye kombe la Mabingwa ukutwa wao ukiundwa na Che Malone wao ndio walikua timu ya Mkiani tena kwa kupokea vipigo vikubwa vikubwa tu leo uje uniambie ni beki kitasa Noop.

Shida mashabiki wa Tanzania hasa Simba na Yanga tuna mihemko sana na propaganda nyingi wakati mwingine tunajizima data kabisa na kusikiliza maneno ya kina Ally wote bila kuzifamu falsafa za mpira.


Roma ikisema imesema.
 
Che malone ni mtu na nusu
Walete tu mabeki wa pembeni basi
 
Che malone ni mtu na nusu
Walete tu mabeki wa pembeni basi

Nyie ndio wale wazee wa chanzo cha habari Ahmed ally endeleeni kumsikiliza Ahmed ally awachote akili zaidi nipe kigezo cha kuniambia ni mtu na Nusu Simba karuhusu goli ngapi mpaka sasa halafu nenda kaangalie statistics za Cotton sports Che malone akicheza.
 
Nyie ndio wale wazee wa chanzo cha habari Ahmed ally endeleeni kumsikiliza Ahmed ally awachote akili zaidi nipe kigezo cha kuniambia ni mtu na Nusu Simba karuhusu goli ngapi mpaka sasa halafu nenda kaangalie statistics za Cotton sports Che malone akicheza.
We jamaa mimi hata ahmed ally sijawahi mfatilia

Sina app ya kumfatilia pia
Mimi ninaangalia mpira kwenye tv
Magoli ya yanga yamefungwa kutokana na uzembe wa mabeki wa pembeni

Kama hufatilii mpira sina msaada na wewe
 
We jamaa mimi hata ahmed ally sijawahi mfatilia

Sina app ya kumfatilia pia
Mimi ninaangalia mpira kwenye tv
Magoli ya yanga yamefungwa kutokana na uzembe wa mabeki wa pembeni

Kama hufatilii mpira sina msaada na wewe
Mchezaji mzuri hata acheze wapi timu ikiwa mbaya watafungwa tu

Yani umeshamtoa beki anayecheza naye huko umetoa viungo unatupa lawama kwake kisa takwimu za cotton sport CAF unajua intensiveness ya ligi ya mabingwa? Timu yake tu ni cotton sport tayari inamueka kwenye disadvantage kama mchezaji Mbona humsemi inonga basi kama ndo hivo?
 
We jamaa mimi hata ahmed ally sijawahi mfatilia

Sina app ya kumfatilia pia
Mimi ninaangalia mpira kwenye tv
Magoli ya yanga yamefungwa kutokana na uzembe wa mabeki wa pembeni

Kama hufatilii mpira sina msaada na wewe

Uliangalia Che malone alivyokuja kukabia juu akachambuliwa kama Njugu mawe na mzize?
 
Nyie ndio wale wazee wa chanzo cha habari Ahmed ally endeleeni kumsikiliza Ahmed ally awachote akili zaidi nipe kigezo cha kuniambia ni mtu na Nusu Simba karuhusu goli ngapi mpaka sasa halafu nenda kaangalie statistics za Cotton sports Che malone akicheza.
Kwani anacheza peke yake?.au kuna timu haifungwi duniani?.Mambo mengine ni matojeo ya mpira,kwasababu hauwezi kua saaa siku zote.na mpira una mambo mengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yes Che mallone beki kutoka Cameroon aliyesajiliwa kwa mikwara mingi kutoka Cotton sports ya kwao Cameroon ulikua ni muda tu hujafika kuona panapovuja waswahili wanasema wacha inyeshe tuone panapovuja.

Jumapili Yanga ilikua mvua kubwa na ilinyesha haswa tukaona pale Simba panapovuja kama ni matundu yanayopitisha mvua pale Simba ni Mengi mnoo palivuja haswa sio yule kiungo wao aliyeibwa airport wala mzee wa kuchapa Inonga wala beki wa Yeriko Che malone au mshambuliaji wa Etoo Onana.

sio Ajabu leo wanasimba wote tunataka kikosi kivunjwe chote na tuanze upya au kuwapandisha hata madogo wa under 20 waje wacheze, zile sifa zote za Wachambuzi leo wanasimba hawataki kuzisikia kabisa washafahamu walikua wanapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa.

Back to the topic Che Malone kwa sisi tunaoutazama mpira kwa jicho la tatu bado hana vigezo vya kuitwa beki katili ni mzito hana kasi kwa kifupi anacheza soft football sema tu ligi yetu inakosa washambuliaji wakali kwangu bado Onyango mtu chuma anakua beki bora kwanza ana mbio pia ni mzuri kwa man to man football, tangia onyango anacheza Simba hawajawahi kula chuma 5 kutoka kwa Yanga.

Ukiangalia Cotton sports kwenye kombe la Mabingwa ukutwa wao ukiundwa na Che Malone wao ndio walikua timu ya Mkiani tena kwa kupokea vipigo vikubwa vikubwa tu leo uje uniambie ni beki kitasa Noop.

Shida mashabiki wa Tanzania hasa Simba na Yanga tuna mihemko sana na propaganda nyingi wakati mwingine tunajizima data kabisa na kusikiliza maneno ya kina Ally wote bila kuzifamu falsafa za mpira.


Roma ikisema imesema.
Wewe unajua soka. Ambaye haoni ubovu wa Che Malone ni kipofu wa soka.
 
Yes Che mallone beki kutoka Cameroon aliyesajiliwa kwa mikwara mingi kutoka Cotton sports ya kwao Cameroon ulikua ni muda tu hujafika kuona panapovuja waswahili wanasema wacha inyeshe tuone panapovuja.

Jumapili Yanga ilikua mvua kubwa na ilinyesha haswa tukaona pale Simba panapovuja kama ni matundu yanayopitisha mvua pale Simba ni Mengi mnoo palivuja haswa sio yule kiungo wao aliyeibwa airport wala mzee wa kuchapa Inonga wala beki wa Yeriko Che malone au mshambuliaji wa Etoo Onana.

sio Ajabu leo wanasimba wote tunataka kikosi kivunjwe chote na tuanze upya au kuwapandisha hata madogo wa under 20 waje wacheze, zile sifa zote za Wachambuzi leo wanasimba hawataki kuzisikia kabisa washafahamu walikua wanapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa.

Back to the topic Che Malone kwa sisi tunaoutazama mpira kwa jicho la tatu bado hana vigezo vya kuitwa beki katili ni mzito hana kasi kwa kifupi anacheza soft football sema tu ligi yetu inakosa washambuliaji wakali kwangu bado Onyango mtu chuma anakua beki bora kwanza ana mbio pia ni mzuri kwa man to man football, tangia onyango anacheza Simba hawajawahi kula chuma 5 kutoka kwa Yanga.

Ukiangalia Cotton sports kwenye kombe la Mabingwa ukutwa wao ukiundwa na Che Malone wao ndio walikua timu ya Mkiani tena kwa kupokea vipigo vikubwa vikubwa tu leo uje uniambie ni beki kitasa Noop.

Shida mashabiki wa Tanzania hasa Simba na Yanga tuna mihemko sana na propaganda nyingi wakati mwingine tunajizima data kabisa na kusikiliza maneno ya kina Ally wote bila kuzifamu falsafa za mpira.


Roma ikisema imesema.
Naomba ututoe mashabiki wa Yanga kwenye huu mjadala wako. Mashabiki wa Yanga ni wastaarabu sana.

Hivyo ni vizuri mkajisema wenyewe kuwa na hiyo tabia ya mihemko, kuwa mbumbumbu, kupenda sana kuimba taarabu kabla ya mechi, kupenda kutukana hovyo watu matusi ya nguoni na kutweza utu wao, nk.
 
Uliangalia Che malone alivyokuja kukabia juu akachambuliwa kama Njugu mawe na mzize?
Mfumo wa timu unamfanya akabie juu
Sasa beki wa pembeni wamepanda ulitaka yeye abaki kufanya nini

Cha msingi ni kukubali mechi ilikua mbayavkwetu na pengine wachezaji wetu wa mbele wangepunguza uchoyo mambo yangekua tofauti

Mimi hata hao mabeki wa pembeni siwalaumu pia walifata matakwa ya kocha sema kocha anachokosea ni kuwaweka kila siku bila mbadala watu lazima wachoke ukiconsider na umri
 
Yes Che mallone beki kutoka Cameroon aliyesajiliwa kwa mikwara mingi kutoka Cotton sports ya kwao Cameroon ulikua ni muda tu hujafika kuona panapovuja waswahili wanasema wacha inyeshe tuone panapovuja.

Jumapili Yanga ilikua mvua kubwa na ilinyesha haswa tukaona pale Simba panapovuja kama ni matundu yanayopitisha mvua pale Simba ni Mengi mnoo palivuja haswa sio yule kiungo wao aliyeibwa airport wala mzee wa kuchapa Inonga wala beki wa Yeriko Che malone au mshambuliaji wa Etoo Onana.

sio Ajabu leo wanasimba wote tunataka kikosi kivunjwe chote na tuanze upya au kuwapandisha hata madogo wa under 20 waje wacheze, zile sifa zote za Wachambuzi leo wanasimba hawataki kuzisikia kabisa washafahamu walikua wanapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa.

Back to the topic Che Malone kwa sisi tunaoutazama mpira kwa jicho la tatu bado hana vigezo vya kuitwa beki katili ni mzito hana kasi kwa kifupi anacheza soft football sema tu ligi yetu inakosa washambuliaji wakali kwangu bado Onyango mtu chuma anakua beki bora kwanza ana mbio pia ni mzuri kwa man to man football, tangia onyango anacheza Simba hawajawahi kula chuma 5 kutoka kwa Yanga.

Ukiangalia Cotton sports kwenye kombe la Mabingwa ukutwa wao ukiundwa na Che Malone wao ndio walikua timu ya Mkiani tena kwa kupokea vipigo vikubwa vikubwa tu leo uje uniambie ni beki kitasa Noop.

Shida mashabiki wa Tanzania hasa Simba na Yanga tuna mihemko sana na propaganda nyingi wakati mwingine tunajizima data kabisa na kusikiliza maneno ya kina Ally wote bila kuzifamu falsafa za mpira.


Roma ikisema imesema.
Ha haa sisi yanga tutoe uko maubovu yenu bakin nayo wenyewe
Sisi hatuusiki hivi sasa hayo mamiemko bakini nayo nyie thimba na azamu
Yanga inaendeshwa kisayans ingekuwa na miemko mnheiona kipindi Nabi anavurunda
Pia mngeiona kipindi Nabi na bench la ufundi walipoamua kjsepa
Hata mayele aliekuwa tegemeo la yanga kwa kila kitu yani tungeparanganyika
Kule upande wa wachambuzi punga awakuwa nyuma walionhea yoote ya kinafiki lakini yanga tulikuwa imara
Mchezaji kama juma na bangara nao walikuwa wanauwasha moto ili mladi timu ivurugike lakini walijivuruga wao
Tukamtuliza Lomalisa akabaki akaacha mapepe
Bado unataka kutufananisha na Simba kweli?
Waambieni wafukuzane weeeeee hivi sasa mlaka watafuta hiyo logo yao waweke paka aliyelowa
 
Back
Top Bottom