Mapenzi huwa yanamatatizo sana hasa hizi zama za kitovu cha mapezi na uwezo wa kiuchumi. Ulichosema ni sahihi kabisa amani na utulivu ina mkonDo wake kama unamuonyesah mweNzi wako si lolote wala chochote sononeko lake linakuwa na uchu wa kupata utulivu ( lakini hii sio cheating) maana imeshakuwa reject sijui tuiiteje. Cheating inakuwa pale hambapo kila kitu kiko sawa au??