THANSK mcd... MTALAAM WA TWANGA PEPETAMTM naomba unisamehe!!!! Unajua nilikuwa nasinzia bwana!!! Unajua ni kweli wanaume wasio kuwa na hofu ya Mungu wanacheat sana kwa mimi ninavyoona, na wanawake pia wanahusika hapa. Si nia yangu kuwahukumu lakini pia nahisi nilijibu kabla sijaelewa mada inataka nini?
Au kwa mfano eti mtu anafiwa na mke wake baada ya miezi miwili mitatu kashaoa mwingine!!! Hivi kweli utasema amemuona huyo mwanamke na kumuoa mara tu baada ya kifo cha mkewe?
The Following User Says Thank You to MTM For This Useful Post:Let me tell you Lizzy... technically wanawake huwa hawacheat, they always have nice reasons to console themselves when they do it. And guess what, haitakaa itokee mwanaume akajustify going out of relationship hata kama ingekua wako apart for three years
Pesonally mdada akitoka akakaa nje huko maka mmegombana na akarudi kwangu, basi ntamcheka na kumdharau kwani hakupata alilchotaka na kumbuka a woman akiondoka kwa man always huwa anakimbia vilio, manyayaso, vipigo, cheating nk. and when she comes back ina maana amekubali vyote vibaya alivyoondokea kwangu... SHE WOULD DEFFO BE A JACK-ASS
UKIACHANA NA MTU NA WEWE NDIO UKAWA WA KWANZA KUONDOKA USIRUDI, KWANI NI SAWA NA KULA MATAPISHI
THANSK mcd... MTALAAM WA TWANGA PEPETA
Salam wanaMMU!
Naomba niwaulize kitu..
Wote tunajua kila mahusiano hua yanakua na kiasi chake cha ugomvi!Kuna ule ugomvi ambao unamwacha mtu akifikiria kwamba mwisho wetu umefika...unakuta mtu ana hasira kiasi kwamba hawezi kufikiria kwamba bado ataendelea kua na mwenzake!!Katika hali ya kawaida watu kama hao wanaweza kumaliza hata zaidi ya wiki wakiwa na hasira na hata kama wanaongea haitakua katika hali ya maelewano!Sasa kwa kipindi kama hicho mmoja akihusiana sijui niseme kimwili, na mtu mwingine kama wewe ndo patna wake utapenda kujua pindi mambo yakiwa sawa kati yenu???Je nayo itahesabika kama kucheat???
Na je kama utakasirikia...kisingizio cha ''sikujua tutarudiana'' kitasaidia kupunguza hasira yako??
Mhhhhh!!!Kwanini mtu akae ndani akilia wakati kuna wengine wanamtaka?
Aliyekukimbiza mpaka ukajikuta kwenye mikono ya mtu mwingine ndo anaesuggest mrudiane!!Alafu sijaona mtu aliyesema kama atapenda aambiwe au mwenzake anyamaze!Wiki mbili tu kashacheat huyo alikuwa ampenga au alikuwa nae tayari huyo mtu.
Yaani nimegombana na mtu ndani ya wiki mbili hata hasira hazijaisha tayari mmmmhhh hiyo ngumu.
Ila anayerudia ni nani sasa yule ambaye hajacheat au? Ndo anakwenda kubembeleza na kukuta mwenzie kashajipimia tayari??
Au kwa mfano eti mtu anafiwa na mke wake baada ya miezi miwili mitatu kashaoa mwingine!!! Hivi kweli utasema amemuona huyo mwanamke na kumuoa mara tu baada ya kifo cha mkewe?
Kwamba kila mgogombana basi mtu awahi fasta kucheat? hapana....
Kama kila mmoja wenu anadhani mmeachana kwa ugomvi huo....mi sidhani kama yapasa kuitwa cheating....
Hata kama haikuwahi kutokea kabla?Imagine mtu analia na akabembelezwa na rafiki yake ambae ni wa jinsia tofauti...bila kumbukumbu anajikuta wanaamka pamoja na kila dalili za kuhusiana!Kwanini asionekane kwamba situation ilimzidia!?mara umerukia kwa mwingine no lizzy hainiingiii akilini hata kidogo huo ni ukicheche kabisa na inawezekana huyo mliegombana ulikuwa humpendi ila ilikua bora liende na ulikua unacheat siku nyingi kwa kificho hapo umefunguliwa tu.