Cheating?!

lizzy kuna wakati huwa najiuliza na kutamani mtu ausome moyo wangu lakini inashindikana nachukia na kukasirika sana pale mtu anapoanza uhusiano na mtu huku akijua lengo lake ni kumtumia tu iwe kupata hela yake,kukata kiu uwa inaumiza sana kwanini usitafute vicheche humo barabarani ufanye ivo.unakuta mkaka wa watu katulia kumbe dada anaangalia mifuko yake na kumuendesha left and right.


Chauro ni wachache sana wanaoingii kwenye mahusiano wakiwa na malengo thabiti!Wengi ni kwa nia ya kutumiana tu kwa namna moja au nyingine ndo maana kila siku watu hawaishi kuimba wimbo wa 'majaribu'.
 
Chauro hiyo ingekua inawezekana maisha yangukua mazuri haswa!Wengi hua hawafikirii wanachofanya kinamwathiri vipi mwingine bali kinamfaidisha vipi yeye!
 

Utakua ni uhuni or umalaya uwezi kugombani ndani ya wiki ukatafuta faraja kwengine ukizingatia tabia za binadamu ni zilezile upishana kidogo tu au ukua na lengo la kumpenda dada hii topic inakulenga nini?
 
Utakua ni uhuni or umalaya uwezi kugombani ndani ya wiki ukatafuta faraja kwengine ukizingatia tabia za binadamu ni zilezile upishana kidogo tu au ukua na lengo la kumpenda dada hii topic inakulenga nini?

Nikisema inanilenga au la utabadili maoni yako??Nwy hainilengi ila nimeona mahali nikaona niulize jamvini!
 
Nikisema inanilenga au la utabadili maoni yako??Nwy hainilengi ila nimeona mahali nikaona niulize jamvini!

Ukweli ni kwamba watu wamesahau kuwa mwili wako sio wakuchezea kama tunavyofanya siku za leo, fikra potofu kuwa mapenzi ndio ukamilisha furaha yako katika maisha. Furaha yako ni kutimiza yale ya msingi katika kutatua shida zinazokusonga ikichangiwa na economic stable. Hasira huwa ni kitu cha kawaida kwa binadamu yeyote cha msingi upendi mwili wako ukihueshimu utaheshimika na hakutatokia na kitu cha cheating kama mada yako+ mtangulize mungu kwa yote ufanyayo.
 

Kwahiyo kumbe hicho tu ndo kinapelekea watu kucheat??
Nwy asante kwa ushauri japo hata pesa hazikamilishi furaha ya mtu!!!
 
Kwahiyo kumbe hicho tu ndo kinapelekea watu kucheat??
Nwy asante kwa ushauri japo hata pesa hazikamilishi furaha ya mtu!!!

Mpendwa embu niambie jaribu siku moja ukakosa hela kabisa au ukawa huna hatapale unapotegemea kupata kipato kikakatika then ufikirie mapenzi kama utafarijika sijui anyway mada yako nzuri
 
Kwahiyo kumbe hicho tu ndo kinapelekea watu kucheat??
Nwy asante kwa ushauri japo hata pesa hazikamilishi furaha ya mtu!!!

Lizzy! mzima mama? Nilianza kusikia harufu mbaya hapa, kumbe pua zangu tu!
 
Mpendwa embu niambie jaribu siku moja ukakosa hela kabisa au ukawa huna hatapale unapotegemea kupata kipato kikakatika then ufikirie mapenzi kama utafarijika sijui anyway mada yako nzuri


Nimesema hazikamilishi sio haziwezi kuleta furaha.Unaweza ukawa na mabilioni ila kama huna hata ndugu wala rafiki wa kuongea nae upweke utakumaliza.Tunahitaji balansi......
 
Lizzy! mzima mama? Nilianza kusikia harufu mbaya hapa, kumbe pua zangu tu!

Mi mzima mpendwa...vipi wewe??
Hehehehhehe......kaharufu kalikua kanatokea kwa jirani hako!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…