Chebukati: sioni uchaguzi wa huru na haki.

pakaywatek

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2014
Posts
4,660
Reaction score
6,282
Akihojiwa na BBC mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi Kenya (IEBC)amedai kuwa wajumbe wamegawanyika, mawazo yake ya kuboresha uchaguzi ili uwe na usawa kama mahakama ilivyoagiza hayazingatiwi na wajumbe wamegawanyika, na ili kuleta umoja ndani ya Tume amewaagiza makamishna wote wajiuzulu ili wateuliwe wapya kwa ajili ya mustakabali wa uchaguzi unaotarajiwa kufanyika wiki ijayo.
 
Kwa katiba ya Kenya M/kiti hana mamlaka ya kuagiza Makamishna wajiuzulu yeye mwenyewe mteuliwa kama walivyo hao makamishna.
 
SASA JUBILEE WAACHE KUSHINDIKIZA UCHAGUZI UFANYIKE TAR 26 NA WAKAE NA NASA WATAFUKE MUAFAKA KWANZA ,KENYA KWANZA VYAMA BAADAE.
 
katiba ya Kenya ni kama mchimba kisima. kaingia mwenyewe halafu anashindwa kutoka. wameitunga katiba inayowafunga. mf. baada ya siku 60 kama uchaguzi haujaitishwa, rais Kenya hatakuwa na nguvu kama rais wa mpito. na katiba haijasema nani atakuwa na madaraka kama ilivyosema kama rais akifa. hivyo uchaguzi usipofangika 26/Oct. basi ujue Uhuru hana constitutional power. Kenya itakuwa bila dereva.
 
Hakuna uchaguzi Kenya mpaka mambo yakae sawa.
Chebukati aanze kuachia ngazi
 

Huyo Chebukati nae ni ' Mnafiki ' tu kwani dalili za kutokuwepo kwa marudio ya Uchaguzi Mkuu huru wa tarehe 26 wiki ijayo zilionekana mapema tu kwanini hakushtuka mapema hadi anakuja kusema leo huku siku zikiwa zimekaribia? Anachotaka kutuonyesha ni kwamba Yeye yuko ' neutral ' ili hata likitokea la kutokea basi asilaumiwe lakini hakuna asiyejua kwamba Chebukati ni Team Jubilee. Uozo wote wa IEBC tayari yule Former Commissioner Mwanamama Dr. Roselyn Akombe ameshauweka wazi na ndiyo maana hata ' akatoroka ' na kukimbilia huko Marekani ili kuweza ' kuokoa ' maisha yake baada ya ' kutishiwa ' sana Uhai wake.
 
Where do u get that!!??

Muigai said Kenyatta would retain full executive authority but would not be permitted to make certain appointments or dismissals.

"Even in the very unlikely event that the election wasn't held on the 60th day, that does not delegitimize the constitutional order," said Muigai.

He said there were various methods of expanding that constitutional time period under the guidance of the Supreme Court.

A leader from the National Super Alliance (NASA) coalition of opposition parties, Moses Wetangula slammed the attorney general as "mischievous and dishonest".

He said Kenyatta was now merely a caretaker president, and if the constitutional period lapsed he will no longer be considered the president.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…