Cheche Mitaani: Tume yawanyoshea kidole NSSF!

Cheche Mitaani: Tume yawanyoshea kidole NSSF!

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
33,771
Reaction score
41,027
toleola10.jpg


Licha ya ripoti kutoka na kuonesha wazi jinsi gani NSSF inahusika katika vifo vya watoto Tabora, vyombo vyetu vikubwa vya habari vimeogopa kusema kilichomo, well, Cheche tuko tayari kusimama peke yetu na kuiita ukweli kuwa ni ukweli...


Jisomee:
 

Attachments

Mwanakijiji pongezi kwa kazi nzuri.

Just one point:- between me and you hii picture ya/na huyu jamaa Mr. Mahmoud Rashid na huyu Miss. Jessy L. Fundi....nadhani umenisoma kigogo.

Kwa mara nyingine pongezi kwa kazi nzuri.
 
MwanaKJJ NSSF inakuhusu nini? Hivi vifo vilikuwa ni mapenzi ya Mungu na wanadamu wameyatimiza tu bila kujijua. Sasa mambo ya kutafutana uchawi hayatawarudisha watoto hao. Wenyewe NSSF wala hawasumbuki na hiyo ripoti kwani walishajua itasema nini. Na kutoka kwa 'mkuu' wetu hakuna kiongozi yeyote mwingine wa serikali atakayewajibishwa kwani ripoti haina nguvu.

Habari ndiyo hiyo!

Asante.
 
MwanaKJJ NSSF inakuhusu nini? Hivi vifo vilikuwa ni mapenzi ya Mungu na wanadamu wameyatimiza tu bila kujijua. Sasa mambo ya kutafutana uchawi hayatawarudisha watoto hao. Wenyewe NSSF wala hawasumbuki na hiyo ripoti kwani walishajua itasema nini. Na kutoka kwa 'mkuu' wetu hakuna kiongozi yeyote mwingine wa serikali atakayewajibishwa kwani ripoti haina nguvu.

Habari ndiyo hiyo!

Asante.

Mpendwa Bi.Senti.50,
Umeandika unalomaanisha au unamaanisha uliloliandika?
Hivi kati ya waathirika (waliokufa) angekuwa ni mwanao au ndugu yako ungesema hivi? Ingekuwa ni wewe mwenyewe najua usingaliweza kusema.

Samahani kama sikukuelewa.
 
Anaandika na kujijibu mwenyewe, in short karata 3!
 
Bi Senti 50 ulikuwa hutaki Mwanakijiji ashupalie jambo hili kwa mantiki ipi? Ndo maana tokea mwanzo tulisema kwa kuwa vifo hivi vimetokea Tabora na siyo Dar basi tukaushe tujifanye ni kudra za Mwenyezi Mungu tu.
Bi Senti 50 shukuru Mungu ni Tanzania unapoweza kujikausha na kujifanya hauhusiki hata kama TUME IMETHIBITISHA kwamba unastahili kuwajibiswa kwa upumbavu wako.Tulitoa maoni mwanzo kuunga mkono kuwajibishwa kwa bwana DAU,Sasa tume imetoa RIPOTI kuzidi kuthibitisha hamtaki kuiamini sasa si kuna namna hapa??
MWANAKIJIJI SHUPALIA TENA KWA NGUVU ZOTE UZEMBE KAMA HUU.Wananchi tunaona na kupima kama unashupalia maslahi ya wengi kwa hili.Na washukuru hatuna nafasi la sivyo wangekuwa Ukonga wakisubiri kesi zao kusomwa.
Bi Senti 50 si wote wana uchungu na nchi hii laiti ingekuwa hivyo Tungekuwa mbali sana kimaendeleo.
 
Matemu tuko pamoja na hili litaendelea kusogezwa karibu hadi tujue nini kinaendelea. Natamani nikae kimya kama kina Masatu hapa kusubiri wengine wafanye kitu nikosoe. Tatizo siwezi.
 
Hili suala la NSSF na vifo vya watoto Tabora ni la kulikalia pembeni kabisa... ningejua wala nisingeligusa.
 
Ni rahisi kuipata toka kwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora Bw. Abeid Mwinyihamisi. Usiniulize kwanini vyombo vya habari havijaichapa au hadi leo haijaweka JF ingawa ni ripoti ya hadhara! Najua majibu lakini hili la NSSF limenizidi kimo!
 
Back
Top Bottom