Hapo mwanzo ilipowaka iliwaka kwa tatizo gani? na kama ndio ilikuwa hio crankshaft position sensor, basi mwambie aliekufanyia diagnosis afanye reset. Halafu endesha, ikirudi tena kuwaka, fanya diagnosis, ukiona sababu ndio hio hio basi ujue mgonjwa hujamtibu badoHabari wanajamii!,
Naomba ushauri nini nifanye kutatua tatizo kwenye gari (nissan x trail). Nilibadilisha crankshaft position sensor recently, ila baada ya hilo zoezi, check engine light ipo on always gari likiwa on. Nifanye nini kutatua tatizo?.
Hapo mwanzo ilipowaka iliwaka kwa tatizo gani? na kama ndio ilikuwa hio crankshaft position sensor, basi mwambie aliekufanyia diagnosis afanye reset. Halafu endesha, ikirudi tena kuwaka, fanya diagnosis, ukiona sababu ndio hio hio basi ujue mgonjwa hujamtibu bado
Thanks Chilubi!, hiyo sign iliwaka baada ya kubadilisha hiyo sensor, ngoja nije nitafute scanner ni chunguze tuHapo mwanzo ilipowaka iliwaka kwa tatizo gani? na kama ndio ilikuwa hio crankshaft position sensor, basi mwambie aliekufanyia diagnosis afanye reset. Halafu endesha, ikirudi tena kuwaka, fanya diagnosis, ukiona sababu ndio hio hio basi ujue mgonjwa hujamtibu bado
Saa nyingine huwa ni sensor tu ishakufa. njia rahisi kufanya reset, ni kuchomoa battery kama kwa sekunde 15 akisha rudisha, an erro kwenye dashboard inatakiwa izime, ikirudi tafuta scanner. Kabla ya kuchomoa betri hakikisha gari yako haina immobilizer, maana kuna baadhi ya magari ukichomoa betri tu, basi haiwaki mpaka iwe programmed.Thanks Chilubi!, hiyo sign iliwaka baada ya kubadilisha hiyo sensor, ngoja nije nitafute scanner ni chunguze tu