Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Ila niseme tu ukweli hakunaga celeb wa kike US ninaemkubali kama huyu dada na kidogo Anne Hathaway!!
Ile NGOZI na FIGURE na TABASAMU ndo nakufa kabisa...
Amekaa kisukuma kabisa sishangai akikuvutia
kwan wasukuma wakoje?
Ila niseme tu ukweli hakunaga celeb wa kike US ninaemkubali kama huyu dada na kidogo Anne Hathaway!!
Ile NGOZI na FIGURE na TABASAMU ndo nakufa kabisa...
Kweli make up aliyeileta duniani aliwaza mbali sana.
Wewe take a look at picture na ufikiri huyu bidada bila make up.huu mtazamo tuu.kwanini mkuu?
Wewe take a look at picture na ufikiri huyu bidada bila make up.huu mtazamo tuu.
wako kama kelly
the lady is beautiful.. figure, height, skin texture vyote vinafutiaIla niseme tu ukweli hakunaga celeb wa kike US ninaemkubali kama huyu dada na kidogo Anne Hathaway!!
Ile NGOZI na FIGURE na TABASAMU ndo nakufa kabisa...
Kisukuma?!?! mmh, I doubt... labda hiyo height yakeAmekaa kisukuma kabisa sishangai akikuvutia