Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Wewe usievuta bangi unanini cha kumzidi chegeHongera kwake.
Ajitahidi mtoto asome ili na yeye asijekuwa mvuta bange.
Kuhusu ndoa aoe atulie maana kwa sasa wananchi hatuna tena hela za mchezo kuchangia wagonjwa.
Akikujibu nitag mkuuWewe usievuta bangi unanini cha kumzidi chege
Hahahahhhuyu aliemshika ndo mtoto!!
Ukioa ndio unakua huugui.Hongera kwake.
Ajitahidi mtoto asome ili na yeye asijekuwa mvuta bange.
Kuhusu ndoa aoe atulie maana kwa sasa wananchi hatuna tena hela za mchezo kuchangia wagonjwa.
Hongera kwake.
Ajitahidi mtoto asome ili na yeye asijekuwa mvuta bange.
Kuhusu ndoa aoe atulie maana kwa sasa wananchi hatuna tena hela za mchezo kuchangia wagonjwa.
HahahahahhaahahahaHuyu aliemshika ndo mtoto!!
AminaHongera yake ..mungu amjalie mtt aje kuwa mtt mwema .
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wewe usievuta bangi unanini cha kumzidi chege
Huyo Dogo tumeshamtoaAfadhari, maana mwenzie Dogo Janja anajirembua na kuvaa kama demu siku hizi. Halafu yule ni kijana wa Mkoani, msije kusema wa Dar bure.
Hahahahahhaahahaha
dah,kulaleki walahi....wabongo nyokoHongera kwake.
Ajitahidi mtoto asome ili na yeye asijekuwa mvuta bange.
Kuhusu ndoa aoe atulie maana kwa sasa wananchi hatuna tena hela za mchezo kuchangia wagonjwa.