Chegge apata mtoto

Huyo Dogo tumeshamtoa
Kwenye list ya wa mikoan
kiaz sana huyo kuz


Dogo Janja kavuka mstari, duh. Sio kwa make-up zile. Watu wa mikoani sasa hivi mnyamaze, dogo kawawakilisha vyema.
 
Hongera kwake.

Ajitahidi mtoto asome ili na yeye asijekuwa mvuta bange.

Kuhusu ndoa aoe atulie maana kwa sasa wananchi hatuna tena hela za mchezo kuchangia wagonjwa.

Hii comment imenichekesha sana [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Chegge atakuwa wa mwisho kuoa
Sasa huyo alo mzalisha anataka aje aolewe na nan?
 
Huyo Dada Kafanana na Mbongo Movie flani aliyeact na Richie Richie Kwenye Swahiba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…