Bondia Francis Cheka Ngumi Jiwe ametangaza kustaafu mchezo wa ndondi.
Hii ni habari mbaya kwa sisi wapenda ndondi. Francis ameamua kuachana na ngumi na kujiweka pembeni ili aendelee na biashara zake ikiwa ni pamoja na kuokota chupa biashara aliyokuwa akiifanya kabla ya kuwa star
Akizungumza na kituo cha ITv kwa masikitiko makubwa Cheka ameonyesha kukerwa na hujuma za baadhi ya wadhamini wa mapambano
Akizungumzia kashfa ya kumkimbia Dulla Mbabe,Cheka amesema mdhamini alikiuka makubaliano ya kumpatia 9m kabla ya mchezo badala yake alimpa 3m tu
Wamemalizana vipi na mdhamini?,kulikuwa na uzi humu amekamatwa?,hizo milioni 3 kazirudisha?,kwa kuuza lile pambano lake kule INDIA atakuwa ashapata msingi wa kuanzisha biashara yake..