*CHEKA KIDOGO *

*CHEKA KIDOGO *

mbwana semsimbazi

Senior Member
Joined
Sep 5, 2013
Posts
196
Reaction score
202
*Unatumwa dukani ukanunue mafuta ya kupikia unapewa 1,000/= afu ww unaamua kupitia sehemu unanunua andazi la sh 100 ili ukanunue mafuta ya 900/=. Ukifika wanakouza mafuta unakuta wamefunga*.
Hapo ndo utatafuta mafuta mpaka phamacy
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
*Unatumwa dukani ukanunue mafuta ya kupikia unapewa 1,000/= afu ww unaamua kupitia sehemu unanunua andazi la sh 100 ili ukanunue mafuta ya 900/=. Ukifika wanakouza mafuta unakuta wamefunga*.
Hapo ndo utatafuta mafuta mpaka phamacy
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka sana, sio kidogo!
 
Hiyo balaa aisee maana nyumbani haparudiki bila mafuta.
 
*Unatumwa dukani ukanunue mafuta ya kupikia unapewa 1,000/= afu ww unaamua kupitia sehemu unanunua andazi la sh 100 ili ukanunue mafuta ya 900/=. Ukifika wanakouza mafuta unakuta wamefunga*.
Hapo ndo utatafuta mafuta mpaka phamacy
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Una umri gani mkuu
 
Ha ha kula ganji lzm uwe na mbinu mbadala hapo unasingizia imejichenchi au imekatwa kodi....🙁🙁🙁
 
Unaanza kwenda kununua mafuta, kinachobaki ndo unapitia andazi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1] [emoji1] Kuna madogo kauzu anaweza pita mtaa kwa mtaa kutafuta ya kuwashia moto ili yajae.. ikishindikana kabisa,

Aaah anatia maji tu kwenye chupa kitafahamika mbele kwa mbele. Mia nne anaiweka kibindoni, 500/= anasema ameokota jiani.
 
Back
Top Bottom