cheka KIDOGO.??!??!

cheka KIDOGO.??!??!

babumapunda

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
4,643
Reaction score
3,301
DOGO: Eti baba mtu stupid yuko je?
DADDY: Hilo ni swali zuri sana, a
very good kweshen kwa kweli I am
praud of you, you see mwanangu,
mtu stupid ni yule ambaye akiulizwa
just a simpo kweshen, yaani swali
dogo sana basi huanza
kulinyumbulisha na kuongeza
mofimu na fonimu katika hilo swali,
kuanza kutafuta, tena infact bila
mantiki yoyote basis ya swali,na
baada ya hapo kufanya mchanganuo
na hati mae kukam up na solushenz
ambazo in prinsipo hazikuweko
katika swali husika kiasi cha kwamba
aliyeuliza swali anakuwa haelewi
hata kitu, umeelewa
DOGO: Hapana
 
DOGO: Eti baba mtu stupid yuko je?
DADDY: Hilo ni swali zuri sana, a
very good kweshen kwa kweli I am
praud of you, you see mwanangu,
mtu stupid ni yule ambaye akiulizwa
just a simpo kweshen, yaani swali
dogo sana basi huanza
kulinyumbulisha na kuongeza
mofimu na fonimu katika hilo swali,
kuanza kutafuta, tena infact bila
mantiki yoyote basis ya swali,na
baada ya hapo kufanya mchanganuo
na hati mae kukam up na solushenz
ambazo in prinsipo hazikuweko
katika swali husika kiasi cha kwamba
aliyeuliza swali anakuwa haelewi
hata kitu, umeelewa
DOGO: Hapana

dah,dingi kajifunga mwenyewe,au dogo kafanya kusudi?
 
DOGO: Eti baba mtu stupid yuko je?
DADDY: Hilo ni swali zuri sana, a
very good kweshen kwa kweli I am
praud of you, you see mwanangu,
mtu stupid ni yule ambaye akiulizwa
just a simpo kweshen, yaani swali
dogo sana basi huanza
kulinyumbulisha na kuongeza
mofimu na fonimu katika hilo swali,
kuanza kutafuta, tena infact bila
mantiki yoyote basis ya swali,na
baada ya hapo kufanya mchanganuo
na hati mae kukam up na solushenz
ambazo in prinsipo hazikuweko
katika swali husika kiasi cha kwamba
aliyeuliza swali anakuwa haelewi
hata kitu, umeelewa
DOGO: Hapana
hahahaha,ding lazma awe mpole
 
DOGO: Eti baba mtu stupid yuko je?
DADDY: Hilo ni swali zuri sana, a
very good kweshen kwa kweli I am
praud of you, you see mwanangu,
mtu stupid ni yule ambaye akiulizwa
just a simpo kweshen, yaani swali
dogo sana basi huanza
kulinyumbulisha na kuongeza
mofimu na fonimu katika hilo swali,
kuanza kutafuta, tena infact bila
mantiki yoyote basis ya swali,na
baada ya hapo kufanya mchanganuo
na hati mae kukam up na solushenz
ambazo in prinsipo hazikuweko
katika swali husika kiasi cha kwamba
aliyeuliza swali anakuwa haelewi
hata kitu, umeelewa
DOGO: Hapana
Hahahaaaa..
 
Back
Top Bottom