Cheka mpaka ufe,usipokufa njoo nikurudishie mbs zako.

Cheka mpaka ufe,usipokufa njoo nikurudishie mbs zako.

thA goD

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2017
Posts
1,943
Reaction score
1,851
Boy:Baby where are you going?.

Girl: To commit suicide.

Boy:Then..,why so much make-up?.

Girl: Idiot!!.. Tomorrow my face will posted on newspaper, you wanna me look shamble?.

Boy:Babe basi wakishakupost waambie wanitag kabisa.
 
IMG_20180101_132520.jpg
 
Weka basi iyoo thread nicheke mpaka nife.

Au iyoo uliyoweka hapo juu ndo yenyewe????
 
Ile ya kingereza Nimecheka kidogo ila ya kiswahili Nimecheka kwa nguvu sana sjui kwanini
 
Kwenye hospitali ya vichaa,
mwandishi wa habari akamwuliza daktari:
"Wewe huwa unatambuaje mgonjwa huyu ni wa kulazwa, na huyu si wa kulazwa "? Daktari : Kuna njia nyingi.
Kwa mfano naweza kujaza maji kwenye sinki la bafuni, nikamwekea hapo kijiko cha mezani,kikombe na ndoo; Kisha nikamwagiza amwage maji yote yaliyo kwenye sinki.
Mwandishi: Bila shaka aliye timamu
atatumia ndoo.
Maana ndoo ndiyokubwa! Si ndivyo?
Daktari: Hapana! Mtu mwenye akili timamu atafungulia koki ya chini ya sinki. Tafadhali na wewe nenda kalale kitanda Namba-39. Nitakuja kuendelea
kukuchunguza zaidi! "
Hahhahaaa! Hivi kweli na wewe pia uliwaza ndoo?
Basi, kitanda chako ni Namba 40.
 
Kwenye hospitali ya vichaa,
mwandishi wa habari akamwuliza daktari:
"Wewe huwa unatambuaje mgonjwa huyu ni wa kulazwa, na huyu si wa kulazwa "? Daktari : Kuna njia nyingi.
Kwa mfano naweza kujaza maji kwenye sinki la bafuni, nikamwekea hapo kijiko cha mezani,kikombe na ndoo; Kisha nikamwagiza amwage maji yote yaliyo kwenye sinki.
Mwandishi: Bila shaka aliye timamu
atatumia ndoo.
Maana ndoo ndiyokubwa! Si ndivyo?
Daktari: Hapana! Mtu mwenye akili timamu atafungulia koki ya chini ya sinki. Tafadhali na wewe nenda kalale kitanda Namba-39. Nitakuja kuendelea
kukuchunguza zaidi! "
Hahhahaaa! Hivi kweli na wewe pia uliwaza ndoo?
Basi, kitanda chako ni Namba 40.
hahahaha nimechela kwa kweli,kweli vichaa ni wengi duniani
 
Back
Top Bottom