Cheki hawa wachungaji

Arabian queen

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2016
Posts
2,557
Reaction score
4,824
CHEKA KIDOGO Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuombeana. MCHUNGAJI WA KWANZA: mimi tatizo langu ni wizi, kila nikimaliza ibada lazima niibe pesa za sadaka. WA PILI: Mimi tatizo langu ni wanawake yani nimeshalala na wana kwaya wote pamoja na mke wa ASKOF. WA TATU akaanza kulia badala ya kuongea.WENZAKE: We vp unatatizo gani mbona unalia??? AKAJIBU: jamani mimi tatizo langu ni "umbea" haya yote tuliyoongea lazima nikaseme!*
 
Hahahahaahaaaaaa..

Akisema munitag
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…