Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Arabian queen

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2016
Posts
2,557
Reaction score
4,824
MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanamke tulikuwa tumeminyana ndani ya daladala
MKE: Na lipstiki kwenye shati?
MUME: Tulikumbatiana na wageni toka Zambia walitembelea ofisi yetu
MKE: Na ile kondom iliyotumika kwenye mfuko wa suruali?
MUME: Bwana ee acha maswali ya kijinga mi nalala nina usingizi
MKE: Lazima niulize mie huwa nahakikisha nimeacha kila kitu hukohuko ndio narudi nyumbani
MUME: Umesema nini wewe?
MKE: Bwana ee acha maswali ya kijinga mi nalala nina usingizi.
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] A.queen you real make me .......
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hapo lazima uwe mdogo
 
Ningemwambia, "Mimi mwenyewe nimesagau leo tu, siku zote huwa naacha hukohuko!"
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…