Hatari sanaJamaa kavamia semina
ya wasomi iliyokua
inafanyika maeneo ya
ubungo plaza basi
wakaanza kujitambulisha
1. Naitwa Anna niko SUA mwaka wa 3 nasoma
agriculture
2. Naitwa Stella niko
UDSM mwaka wa 2 nasoma
public relation
3. Naitwa Emmanuel niko
UDOM mwaka wa 3 nasoma
computer science
basi jamaa nae akainuka
kwa kusuasua huku
akijishtukia akasema
"Naitwa Elisha
niko Tanesco mwaka wa
7 nasoma mita"
no 2. udsm hakuna public relation km courseJamaa kavamia semina
ya wasomi iliyokua
inafanyika maeneo ya
ubungo plaza basi
wakaanza kujitambulisha
1. Naitwa Anna niko SUA mwaka wa 3 nasoma
agriculture
2. Naitwa Stella niko
UDSM mwaka wa 2 nasoma
public relation
3. Naitwa Emmanuel niko
UDOM mwaka wa 3 nasoma
computer science
basi jamaa nae akainuka
kwa kusuasua huku
akijishtukia akasema
"Naitwa Elisha
niko Tanesco mwaka wa
7 nasoma mita"
Safi sana.Jamaa kavamia semina
ya wasomi iliyokua
inafanyika maeneo ya
ubungo plaza basi
wakaanza kujitambulisha
1. Naitwa Anna niko SUA mwaka wa 3 nasoma
agriculture
2. Naitwa Stella niko
UDSM mwaka wa 2 nasoma
public relation
3. Naitwa Emmanuel niko
UDOM mwaka wa 3 nasoma
computer science
basi jamaa nae akainuka
kwa kusuasua huku
akijishtukia akasema
"Naitwa Elisha
niko Tanesco mwaka wa
7 nasoma mita"