Cheki walokole walichofanya hapa

Cheki walokole walichofanya hapa

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Captureredeeeeeee.PNG
 
Mizigo ni dhambi Biblia uongea kwa mafumbo ili kutofautisha na vitabu vingine. Mizigo ni tabia zote usizoweza ziacha kwa akili yako mwenye mfano ushoga pombe bangi kudanga club uzinzi uteja wizi punyeto usagaji nk vyote hivi vinafutika kwa maombi.
 
😅😅😅 nikiwa nasoma chuo katika harakati za kupitapita campus nikapishana na kijana amevaa T shirt imeandikwa my ass is bigger that yours. Maneno yameandikwa hati ya rough hivi kama mchoro fulani.

Tukapishana, kama hatua moja nikasimama nikiwa natafakari ikabidi nimuite kaka samahani, akaitika na kugeuka akiwa surprised kwamba inakuwaje msichana hatufahamiani ananisimamisha, ikabidi nimuulize kama yeye ni mwanafunzi wa hii campus, akawa honest kuwa yeye si mwanafunzi, huwa analeta biashara hivyo leo amekuja kuleta biashara, amebeba kibegi cha urembo, amekifunga funga akifika blocks ndio atakifungua maana Suma JKT wanaweza mzingua.

Anyways ikabidi nimwambie tu kuwa tishet yako imeandikwa maneno ya ajabu sana akaomba nimtafsirie, eenhe ilibidi achukue koti sijui jaketi lile avae aendelee na safari.
 
😅😅😅 nikiwa nasoma chuo katika harakati za kupitapita campus nikapishana na kijana amevaa T shirt imeandikwa my ass is bigger that yours. Maneno yameandikwa hati ya rough hivi kama mchoro fulani.

Tukapishana, kama hatua moja nikasimama nikiwa natafakari ikabidi nimuite kaka samahani, akaitika na kugeuka akiwa surprised kwamba inakuwaje msichana hatufahamiani ananisimamisha, ikabidi nimuulize kama yeye ni mwanafunzi wa hii campus, akawa honest kuwa yeye si mwanafunzi, huwa analeta biashara hivyo leo amekuja kuleta biashara, amebeba kibegi cha urembo, amekifunga funga akifika blocks ndio atakifungua maana Suma JKT wanaweza mzingua.

Anyways ikabidi nimwambie tu kuwa tishet yako imeandikwa maneno ya ajabu sana akaomba nimtafsirie, eenhe ilibidi achukue koti sijui jaketi lile avae aendelee na safari.
Ass ni punda
 
Mizigo ni dhambi Biblia uongea kwa mafumbo ili kutofautisha na vitabu vingine. Mizigo ni tabia zote usizoweza ziacha kwa akili yako mwenye mfano ushoga pombe bangi kudanga club uzinzi uteja wizi punyeto usagaji nk vyote hivi vinafutika kwa maombi.
Humohumo tena 'kila mtu atabeba mizigo yake mwenyewe'
 
😅😅😅 nikiwa nasoma chuo katika harakati za kupitapita campus nikapishana na kijana amevaa T shirt imeandikwa my ass is bigger that yours. Maneno yameandikwa hati ya rough hivi kama mchoro fulani.

Tukapishana, kama hatua moja nikasimama nikiwa natafakari ikabidi nimuite kaka samahani, akaitika na kugeuka akiwa surprised kwamba inakuwaje msichana hatufahamiani ananisimamisha, ikabidi nimuulize kama yeye ni mwanafunzi wa hii campus, akawa honest kuwa yeye si mwanafunzi, huwa analeta biashara hivyo leo amekuja kuleta biashara, amebeba kibegi cha urembo, amekifunga funga akifika blocks ndio atakifungua maana Suma JKT wanaweza mzingua.

Anyways ikabidi nimwambie tu kuwa tishet yako imeandikwa maneno ya ajabu sana akaomba nimtafsirie, eenhe ilibidi achukue koti sijui jaketi lile avae aendelee na safari.
Kuna jamaa nilimkuta ana T shirt nyeusi imeandikwa 'Am amateur pornstar', ilibidi nimuambie, uzuri alikuwa muelewa sana akanishukuru.
 
😅😅😅 nikiwa nasoma chuo katika harakati za kupitapita campus nikapishana na kijana amevaa T shirt imeandikwa my ass is bigger that yours. Maneno yameandikwa hati ya rough hivi kama mchoro fulani.

Tukapishana, kama hatua moja nikasimama nikiwa natafakari ikabidi nimuite kaka samahani, akaitika na kugeuka akiwa surprised kwamba inakuwaje msichana hatufahamiani ananisimamisha, ikabidi nimuulize kama yeye ni mwanafunzi wa hii campus, akawa honest kuwa yeye si mwanafunzi, huwa analeta biashara hivyo leo amekuja kuleta biashara, amebeba kibegi cha urembo, amekifunga funga akifika blocks ndio atakifungua maana Suma JKT wanaweza mzingua.

Anyways ikabidi nimwambie tu kuwa tishet yako imeandikwa maneno ya ajabu sana akaomba nimtafsirie, eenhe ilibidi achukue koti sijui jaketi lile avae aendelee na safari.
Tatizo ni kuwa wengi wenu hili neno mnapenda kulitumia kama vulgar au slang pekee. Na mimi naamini hapo ulimpa maana iliyojikita katika mitazamo hiyo.

Lakini ukijaribu kuliweka kama figurative, halina shida yoyote. Na hata maandishi ya hiyo Tshirt yalilenga figurative.
Mfano, as a figurative, ass inamaanisha body. Je, kuna shida mtu akiva t-shirt imeandikwa kuwa; "My body is bigger than yours"?
 
Mimi shida ninayoiona hapo ni kuwa, hilo bango la kanisa limeziba hilo bango la hiyo shopping center. Yaani mabango yote yanalingana heights.

Ilitakiwa bango la kanisa either liwe fupi ya hilo la shopping center au refu zaidi. Hii ingesaidia mabango yote kusomeka vizuri na ujumbe kuwafikia walengwa.
 
Back
Top Bottom