Elections 2010 Cheki watu wa nzega walivopokea ahadi za kikwete

salute watu wa nzega, mimi nawaheshimu sana
bajaji kubeba wajawazito, na kila penye mto au ziwa kuletwa merikebu, hizi ahadi jamani mhh!!!
Cheki na hii viwanja vya ndege vitajengwa: leh!! Wananchi wa nzega wangapi wanauwezo wa kupanda ndege?? Akili kichwani leh!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…