Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 3,035
Baada ya kuona droo ya robo fainal kupangwa Jana sis Kama Chelsea tumefurahi kupangiwa na real Madrid.tunaenda kumpiga Madrid nje ndani afu tunakuja kwa city nae tunampiga nusu fainail na fainali ni Chelsea na Napoli na Chelsea anakuwa bingwa🥇🏆
Msimu wa 2020/2021 ngola kante alikuwa mchezaji Bora pale Santiago b tukiwapigia mpira mkubwa na walivyokuja Stamford bridge tuliwapelekea pumzi ya moto na ngolo kante akawa mchezaji Bora wa mechi
Msimu uliopita tulivyokutana pale statiago b mliona tulivyowapelekea Moto...Japo uchawi uliwasaidia mkapita sas msimu huu Hamna chenu .
Man City : mna laana kombe la uefa mtalisikia tu na kocha wenu mbaguzi😄
Man u : nyie ni vibonde uefa mtalisikia tu mtacheza miaka yote kombe lenu la futuhi 😁
Arsenal : amna hadhi ya kucheza ata uefa Amna wachezaji wa kiwango 😁
Liverpool😁😁😁😁😄😄
Chelsea bingwa uefa 2022/2023
Blues forever
Msimu wa 2020/2021 ngola kante alikuwa mchezaji Bora pale Santiago b tukiwapigia mpira mkubwa na walivyokuja Stamford bridge tuliwapelekea pumzi ya moto na ngolo kante akawa mchezaji Bora wa mechi
Msimu uliopita tulivyokutana pale statiago b mliona tulivyowapelekea Moto...Japo uchawi uliwasaidia mkapita sas msimu huu Hamna chenu .
Man City : mna laana kombe la uefa mtalisikia tu na kocha wenu mbaguzi😄
Man u : nyie ni vibonde uefa mtalisikia tu mtacheza miaka yote kombe lenu la futuhi 😁
Arsenal : amna hadhi ya kucheza ata uefa Amna wachezaji wa kiwango 😁
Liverpool😁😁😁😁😄😄
Chelsea bingwa uefa 2022/2023
Blues forever