Darucha
Senior Member
- Dec 28, 2020
- 111
- 211
Inabidi tukubali tu kuwa Chelsea ina mwalimu ambaye bado hajafika kwenye level za kuitwa world class coach kiufupi kimbinu bado hayuko vzr Sana Chelsea kwa Sasa inachotakiwa ni kumtafuta kiungo mmoja mshambuliaji Aina ya Paul Pogba, Bruno fernandez, Ddebruyne au Modrick.
Kuendelea kuwategemea Havertz, Mount na Kovacic ni kumtesa Ngolo Kante pale katikati ashindwe kutimiza majukumu yake jambo lapili atafutwe mshambuliaji hatari Aina ya Haaland, Lukaku au Danny Ings najua hapa mtajiuliza ings naye ni hatari lakini kwa wale tunaojua washambuliaji hatari hatushangai huyu jamaa kuwa kwenye hii list jambo la tatu ni kumfukuza lampard na kumleta Thomas tuchel
Kuendelea kuwategemea Havertz, Mount na Kovacic ni kumtesa Ngolo Kante pale katikati ashindwe kutimiza majukumu yake jambo lapili atafutwe mshambuliaji hatari Aina ya Haaland, Lukaku au Danny Ings najua hapa mtajiuliza ings naye ni hatari lakini kwa wale tunaojua washambuliaji hatari hatushangai huyu jamaa kuwa kwenye hii list jambo la tatu ni kumfukuza lampard na kumleta Thomas tuchel