Chelsea hakuna mpira pale ila kuna Mourinho

master of cities

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2015
Posts
429
Reaction score
625
Wadau game la leo limetawaliwa na Man u..lakini final result ni Chelsea 1 Man u 0.. kama ingekuwa timu nyingine ikacheza kama ilivyocheza Chelsea leo Dhidi ya Man U lazima ingechezea Bakora za kutosha....ila kwa vile kuna Mtu anaitwa Mourinho habari imekuwa nyingine kabisa kwa mashetani....Yeye anajua kitu kimoja tu kwenye mpira ni Mathematical Timing

MATCH STATISTICS

POSSESION Man u 70% Chelsea 30%

SHORTS Man u 15 Chelsea 7

ON TARGET Man u 2 Chelsea 2

CORNERS Man u 7 Chelsea 3

FOULS Man u 11 Chelsea 13

YELLOW CARD Man u 1 Chelsea 3

RED CARD Man u 0 Chelsea 0

GOALS Man u 0 Chelsea 1

Source BBC Sport - Chelsea 1-0 Manchester United










 
Acha zako wewe. Tangu lini daraja lililotengenezwa kwa zege likavunjwa kwa kutumia mti?
 
Kwa maana hiyo mbio za ubingwa zinabakia zaidi kwa Chelsea na Arsenal. Maana Man City kapotea na Man united anaanza kusuasua.
 
masterclass,the magician mourinho huwa ana hesabu za ushindi,man hawakuweza kugundua hesabu za leo,
1.ilikuwa ni kuwafanya wasicheze mchezo unaowapa ushindi-kwa mbinu hii mourinho aliwaachia wachezee mpira ili wajione kuwa wanatawala mchezo then pale kati akawawekea zouma aka tanesco,kazi kubwa ya zuma ilikuwa ni kukata "umeme" pale katikati.

2.mourinho alikuwa akifanya mashambulizi ya kushitukiza yasiyokuwa na mipango mirefu,yaani pale panapo fanyika makosa ndipo shambulizi linapoanzia na siyo kupanga shambulizi tangu nyuma

3.man u walikuwa wakicheza na mourinho na siyo chelsea
 
"But...but...we had more
possession! But...but...we
dominated! But...hehehe...we'll
take the title next season!" are the
cries of those who don't know
what just hit them. Don't play
chess when all you know is
checkers.
 
Mbinu ndo zinaleta ushindi..

Yani man u kama demu vile,, unavmtongoza unamuacha afanye anavotaka,unamsifia anajiona mzuuuuri kumbe we kipo unachotaka! Akija geto(darajanj) unamuacha ajimwage anajiona ndo kafika. AKIINGIA TU CHUMBANI MAMBO YANA BADILIKA,GOLI MOJA WATOTO WATATU.
 

Uwiiii...
 

Upo sahihi mkuu! Dah! Umenivunja mbavu lakini aisee.

Hii ukimwambia mshabiki wa Man U lazima akurushie ngumi ingawa ndio ukweli wenyewe huo.
 
Hiyo ball possession ya Man Wewe ilikuwa kwenye eneo lipi? Kama beki na golikeeper wake watakuwa wanapasiana wenyewe kwa wenyewe katika eneo lao hata kwa dakika 10, kuna credit yoyote hapo?
 
Hiyo ball possession ya Man Wewe ilikuwa kwenye eneo lipi? Kama beki na golikeeper wake watakuwa wanapasiana wenyewe kwa wenyewe katika eneo lao hata kwa dakika 10, kuna credit yoyote hapo?

takwimu zinaonyesha kat ya pas 520 zilizopigwa pas 340 zilikuwa ktk upande wa nusu ya gol la chelsea..jibu nadhan umepata.
 
sasa hivi muhimu point tatu.Alafu man u amecheza mpira kabla ya goli lakini baada ya goli hakuna mpira aliocheza
 
Hawa Man U kelele miingi! mpira magoli sio chenga,naona mpira umewashinda mnaanza siasa!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Walifunga goli ngapi kutokana na hizo pasi?

Jibu analo ila kujibu ni aibu.
Maana ni sawa na kusema,"NILIKESHA USIKU KUCHA NASOMA HALAFU MTIANI NIKAFELI,HUYU ALISOMA KIDOGO AKALALA HALAFU AKAFAULU"
Sa cjui apo na genius?

A
 
Walifunga goli ngapi kutokana na hizo pasi?

Aliyefunga ni refa Chelsea hawakufunga goli. Refa real was a man of the match kwa jinsj alivyojitahidi at least kuona Chelsea inashinda.

Kwa mwendo huu England itaendelea kuwa msindikizaji tu UEFA.
 
sasa hivi muhimu point tatu.Alafu man u amecheza mpira kabla ya goli lakini baada ya goli hakuna mpira aliocheza

Ni kweli juhudi tumeziona kwa staili yoyote hata kununua marefa pia tumeona. Maana uzuri wa tehama ni kuwa lile tukio la Herrera kukwatuliwa ndani ya box halafu kadi anapewa yeye kila mtu mwenye akili timamu aliona.
Mpira wa England hautakaa uendelee kwa staili hii ya chelsea kununua waamuzi.
Yule mwamuzi alishawahi kufungiwa kwa kuboronga kwenye maamuzi, sababu kuu jamaa ni corrupt ajabu.
 

Haujui jinsi ya kutafsiri takwimu za mpira, hasa kuhusu ball possession! Kuna kitu kinaitwa "Football efficience" yaani ni kwa kiwango gani jitihada iliyotumika ilifanikiwa kufikia malengo yaliyokusudiwa. Kwenye mpira wa miguu lengo kuu ni kufunga goli na mwishoni kuweza kupata pointi Tatu muhimu. Na jitihada inayotumika ili kufikia lengo Hilo ni kutafuta nafasi na kupiga mpira golini (Shots on target). Kanuni yenyewe ni hii: football efficiency= Goals /(divide by) Shots on target *(times) 100. Kwa chelsea: Football efficiency=1/2=50%. kwa Man U : Football efficieny=0/2=0%.
Kwa hiyo Football Efficiency Chelsea 50% Man u 0%. Hii ni kwa sababu timu zote mbili zilipiga mashuti mawili golini (shots on target), lakini kwa Man jitihada hizo zilizaa goli sifuri (0), na kwa chelsea jitihada hizo zilizaa goli moja(1). Ndiyo maana mwisho wa siku inajulikana timu ipi ilinuna na ipi ilicheka! Kucheza mpira wa miguu kwa juhudi kubwa bila kufunga goli ni sawa na kuwalisha kuku wa mayai kwa juhudi kubwa lakini wasitage yai hata moja. Halafu mfugaji wa jinsi hiyo akijisifu kuwa ni mtaalam wa kuwalisha kuku akiambiwa akapime akili atakuwa amesaidiwa sana!
 
Aliyefunga ni refa Chelsea hawakufunga goli. Refa real was a man of the match kwa jinsj alivyojitahidi at least kuona Chelsea inashinda.

Kwa mwendo huu England itaendelea kuwa msindikizaji tu UEFA.

Timu ya Man kumbe wajinga kuanzia wachezaji hadi washabiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…