Alooh yaani inanikata maini sio poaKwa hii Chelsea bora ifutwe tu. Mmarekani na siasa za ulaya zimetuharibia.
Umeongea point sana nitalizingatiaDuhh ila 4 sio utani kwa hili chama ππππ... siku nyingine angalia odds kwanza
mimi niliamini kuwa ningetoboa lakini kilichonikuta duuh kama mimi laki mbili tuu kilio je wanaoweka milioni?Pole. Usicheze kamari na pesa ambayo ikiliwa utaumia.
pole, usicheze kamari kwa kiwango usichomudu kuhimili kikipotea.mimi niliamini kuwa ningetoboa lakini kilichonikuta duuh kama mimi laki mbili tuu kilio je wanaoweka milioni?
we ndo wa kujilaumu,yaani timu inachezeshwa na kosi la pili na bado unaipa ushindi?kipindi chote hiki chelsea ako na rekodi mbayaWakuu chelsea ni chama langu ila kwa mwenenendo huu sijui kama nitafika, jana kanikata kila kitu kuanzia vibe hadi mtonyo nilimuamini sana nikamuwekea laki mbili duuh lakini kanibwaga.
Uchungu zaidi nilikoweka hata bonus hakuna , sijui ni wapi angalau ningepata kabonus kutuliza moyo, tuelekezane kidogo.