Chelsea kutinga robo fainali ya Carabao

Rugaikamu

Member
Joined
Aug 8, 2017
Posts
37
Reaction score
20


Willian alifunga bao muhimu la pili huku Chelsea wakisonga mbele na kuingia robo fainali lakini walishangazwa na wageni wao.

Chelsea ilikuwa imeitawala Everton kwa urahisi katika kipindi cha kwanza na kuongoza kupitia kichwa kizuri cha Antonio Rudigers.

Lakini The Toffees walionekana kuwa hatari baada ya kipindi cha kwanza huku shambulio la Kevin Mirallas likiokolewa naye Ademolar Lookman akipiga mwamba wa goli.

Willian alifunga bao la kimo cha nyoka katika dakika za lala salama kabla ya Dominic calvert kuifungia Everton bao la kufutia machozi.

Nilipotezavibaya lakini ninafurahia mchezo wetu, tuliwatawala,Unsworth aliyechukua mahala pake Ronald Koeman alisema.
SOMA NYINGINE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…