Chelsea lkutangaza utalii Zanzibar

Chelsea lkutangaza utalii Zanzibar

mwakani naolewa

Senior Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
148
Reaction score
426
Klabu ya soka ya Chelsea inayoshiriki michuano ya ligi kuu ya Uiengereza imechukua jukumu la kukuza utalii wa zanzibar ambapo mabingwa hao wa ligi kuu ya uingereza wanatarajiwa kuanzisha shule ya kuibua vipaji visiwani hapo . Hayo yamebainishwa katika kikao kati ya rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi na mkuu wa kitengocha mauzo ya ubia wa chelsea Barnes Hampel. ushirikiano huu unatarajiwa kuleta tija kubwa kwa taifa ikiwa ni kukuza utalii, kuibua fursa kwa vijana pamoja kuendeleza vipaji vya soka barani kwa ujumla.
Screenshot 2024-08-28 091401.png
 
Sometimes you have to be specific. Visit Zanzibar or Visit Serengeti makes more sense.
True lakini Tanzania is in need of advertisement kuliko Zanzibar, hakuna mtali anaiokuja Africa asiijue Zanzibar, ila wengi hawaijui Tanzania ina nini !
 
True lakini Tanzania is in need of advertisement kuliko Zanzibar, hakuna mtali anaiokuja Africa asiijue Zanzibar, ila wengi hawaijui Tanzania ina nini !
Sasa tunaweza kufanya Visit Serengeti, Visit Ngongoro or Visit Selous-The Largest Game Reserve in the world etc. Visit Zanzibar iko precise kwasababu ni kisiwa na unatembelea mandhari ya kisiwa. Visit Tanzania iko too general.
 
Back
Top Bottom