Chelsea vs Man city. Man city huree !

Status
Not open for further replies.
Roma 1-Juventus 0. live on kungfu chanel startimes!
 
Mkuu Thread kama hii ungeipost kwenye jukwaa la Sports ingekuwa poa sana.

BTW ngoja nikusaidie kuiweka huko....... karibu sana JF
 
kaka si ngeleja anazid kututenda huku tanga, vp nyie mgo umeisha? kamchina ndo kanaokoa jahaz kujua kinachoendelea, upe matokeo kila dk
 
Ungwe ya pili imeshachukua nafasi yake! Ila Yahya Toure bila shaka alichomtendea huyu kiungo mshambuliaji wa chelsea Juan Mata inaweza ikamgharimu.
 
Bila shk chelsea waki2lia wanauwezo wa kuwanyamazisha hawa mashabiki wa Man City! Kwa upande wa kiungo (KATI)wako njema sana!
 
Dk 57 Red card kwa defender wa Man Cty Clichy,dk 62 defender wa Chls anapata card ya njano,dk 64 Man Cty wanafanya Sub toka Aguero ingia Kolo Toure.
 
Naona leo unbeaten record inafikia kikomo
 
leo man cty wamekamatika, 1-2 😛oa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…