Chelsea wabeba ubingwa wa klabu bingwa dunia

John Haramba

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2022
Posts
365
Reaction score
1,374

Chelsea imefanikiwa kubeba ubingwa wa Klabu Bingwa Dunia baada ya kuifunga Palmeiras kwa mabao 2-1 katika fainali iliyochezwa Abu Dhabi, leo Jumamosi.

Mabao ya Romelu Lukaku na Kai Havertz yameipa Chelsea ubingwa huo wa kwanza kwao katika historia ya michuano hiyo. Bao la Palmeiras lilifungwa na Raphael Veiga.

Hilo ndilo taji pekee ambalo mmiliki wa Chelsea, Roman Abramovich alikuwa hajashinda tangu alipoanza kuwa mmiliki wa klabu mwaka 2003.
 

Japo siipendi Chelsea, lakinii nilikuwa upande wenu kuwashabikia mzehe,,, nimehappy kwa ushindi huo dhidi ya hao wabaguzi na wabinafc wabrazili.

Ball possession
Chelsea,,,,,,,,,,,,,,Wabaguzi
70.5%---------------29.5%πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚



Hongereni sana wanablues,,mmeupiga sana.
 
Hii game ingekuwa Chelsea na Al Ahl ingekuwa poa sana ili Luis amsumbue Kante πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ–πŸ–
Ila Palmeira wametandaza soka zuri

Palmeiras ni uozo mtupu wazee wa kupaki bus,,,heri wangepita kati ya Boca juniors or River plate wangereta ushindani.

Hata ivyo nimefurai sana chelsea kuwatoa hao wabaguzi wa brazili
 
Palmeiras ni uozo mtupu wazee wa kupaki bus,,,heri wangepita kati ya Boca juniors or River plate wangeonyesha ushindani. Au wangekutana Al ahly/Al hilal na Chelsea hapo sawa.

Hata ivyo nimefurai sana chelsea kuwatoa hao wabaguzi wa brazili
hawawabrail wana ubagui upi?
 
Inapendeza sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…