Chelsea wachukua FA Cup baada ya kuifunga Manchester United goli 1 kwa nunge

Chelsea wachukua FA Cup baada ya kuifunga Manchester United goli 1 kwa nunge

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
#FA Chelsea mabingwa kombe la FA England baada ya kuifunga Man United bao 1-0 katika mchezo wa fainali uliopigwa Uwanja wa Wembley jijini London.
IMG_20180519_214151.jpg

[HASHTAG]#FACup2018[/HASHTAG] Timu ya ChelseaFC wakabidhiwa Kombe la ubingwa wa FA England baada ya kuifunga Man United bao 1-0 katika mchezo wa fainali uliopigwa Uwanja wa Wembley jijini London leo.

=====

UINGEREZA: Klabu ya Chelsea yatwaa Ubingwa wa Kombe la Chama cha Soka nchini humo(FA) -
Chelsea FC imetwaa uchampioni huo baada ya kuinyuka Klabu ya Manchester United kwa bao 1 kwa nunge
-
Bao hilo limewekwa kimiani na mshambuliaji raia wa Ubelgiji, Eden Hazard kunako dakika ya 22 ya mchezo kwa njia ya mkwaju wa penati
-
Penati hiyo ilipatikana baada ya mlinzi wa Manchester United, Phil Jones, kumchezea madhambi, Eden Hazard
-
Mtanange huo umepigwa katika dimba la Wembley
 
Man msimu umeisha hajaambulia chochote km arsenal, cjui mo ataomba pesa tena asajili! cjui ht atasajili nn tena
 
Niliwaona Rashford,Pogba na Sanchez ulimi nje jana...
 
Mourinho analialia hovyo ati Chelsea hakustahili kushinda kisa alidefend karibia mechi nzima. Nyani haoni kundule kweli. Kasahau alivyokuwa anadefend wakati anapigishwa kwata na Liverpool? Kipigo kinamuuma!
 
Back
Top Bottom