Shadida Salum
Journalist at JamiiForums
- Sep 11, 2020
- 69
- 105
Ubingwa wa points 108 huanza na points 3 kutoka kwa team kama Burnley. Tuache kwanza!Hahhahah Chelsea ndio mmefikia huku?
Mkishinda mnaweka na uzi kabisa!!tena Burnley π
Sawa mkuu,nawaachaUbingwa wa points 108 huanza na points 3 kutoka kwa team kama Burnley. Tuache kwanza!
ubingwa upi ...??Sawa mkuu,nawaacha
Kila la heri katika safari yenu ya ubingwa
Epl kwani wewe unatakaje?ubingwa upi ...??
wa VPL auπ€
πππLabda efl...Epl kwani wewe unatakaje?
Subiri uone..πππLabda efl...
Mzee lengo lako nawewe kuanzisha uzi au? Mbona jukwaa la chelsea lipo!View attachment 1616668
Chelsea imeendelea kujihakikishia nafasi nzuri kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya England baada ya kuipiga Burnley bao 3 kwa 0 kwenye mchezo ambao Burnley alikuwa nyumbani katika Dimba la Turf Moor
Magoli ya Chelsea yamefungwa na H. Ziyech dakika ya 26, Goli la pili likafungwa na K. Zouma kunako Dakika ya 63 na dakika saba mbele T. Warner akaiandikia timu yake goli la 3 na la mwisho katika mchezo huo
Mchezo huu unaiweka Burnley katika nafasi ya mwisho kabisa ya msimamo wa ligi hiyo
Huu ni mkakati wa sisi ma fans wa timu pendwa zaidi duniani kujitanua.πM
Mzee lengo lako nawewe kuanzisha uzi au? Mbona jukwaa la chelsea lipo!
Hao wawili wameleta mapinduzi makubwa Sana chelseaSilva na Mendy. Hii combo ndio tulikuwa tunamiss.