Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 577
- 2,595
Ni kweli, kama kufikia Leo Kocha wa Asernal ni Arteta? Basi wapewe tu tuzo ya uvumilivu.Arsenal ni wavumilivu sana duniani hakuna anaewafikia kwa uvumilivu
Kama man utd tu. Wanasema tu apewen muda kinafiki hapewiChelsea hawanaga uvumilivu kudadeki.
Ndio katimuliaa ChelseaAmefukuzwa??