Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,509
- 3,756
Christian Pulisic amejiunga na Chelsea kwa ada ya Paundi Milioni 57.6 lakini atabaki Borussia Dortmund kwa mkopo hadi mwisho wa msimu huu 2018/19
Mchezaji huyo raia wa Marekani mwenye miaka 20 anakuwa mchezaji ghali wa pili(bila kujumuisha golikipa) katika historia ya Chelsea baada ya Alvaro Morata
Mkurugenzi wa Idara ya michezo wa Dortmund, Michael Zorc amesema "Ilikuwa ni ndoto ya Christian kucheza katika ligi kuu ya nchini Uingereza"
=======
Christian Pulisic has joined Chelsea in a £57.6m move from Borussia Dortmund but will be immediately loaned back to the German club for the remainder of the 2018/19 season.
The 20-year-old United States international becomes the second most expensive outfield player in Chelsea's history, after Alvaro Morata.
Pulisic will remain with Bundesliga leaders Dortmund until the end of the season before joining up with Maurizio Sarri's squad ahead of the 2019/20 campaign.
"It was always Christian's dream to play in the Premier League," said Dortmund sporting director Michael Zorc.
"That certainly has to do with his American background, and as a result we were unable to extend his contract.
"Against this background, we have decided to accept an extremely lucrative bid by Chelsea, given the low contract maturity."
Sent using Jamii Forums mobile app
Mchezaji huyo raia wa Marekani mwenye miaka 20 anakuwa mchezaji ghali wa pili(bila kujumuisha golikipa) katika historia ya Chelsea baada ya Alvaro Morata
Mkurugenzi wa Idara ya michezo wa Dortmund, Michael Zorc amesema "Ilikuwa ni ndoto ya Christian kucheza katika ligi kuu ya nchini Uingereza"
=======
Christian Pulisic has joined Chelsea in a £57.6m move from Borussia Dortmund but will be immediately loaned back to the German club for the remainder of the 2018/19 season.
The 20-year-old United States international becomes the second most expensive outfield player in Chelsea's history, after Alvaro Morata.
Pulisic will remain with Bundesliga leaders Dortmund until the end of the season before joining up with Maurizio Sarri's squad ahead of the 2019/20 campaign.
"It was always Christian's dream to play in the Premier League," said Dortmund sporting director Michael Zorc.
"That certainly has to do with his American background, and as a result we were unable to extend his contract.
"Against this background, we have decided to accept an extremely lucrative bid by Chelsea, given the low contract maturity."
Sent using Jamii Forums mobile app