Amesajiliwa kwa ada ya uhamisho inayokadiriwa kufikia paundi milioni 32 na amepewa mkataba wa miaka mitano .
Taarifa zaidi zinadokeza kwamba Leicester city walishaamua kumpa mkataba mpya na kumuongezea mshahara hadi kufikia paundi laki 1 kwa wiki , lakini inasemekana kante mwenyewe aliamua kuondoka ili kutafuta changamoto mpya .