Chelsea yamsajili N'Golo Kante

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Amesajiliwa kwa ada ya uhamisho inayokadiriwa kufikia paundi milioni 32 na amepewa mkataba wa miaka mitano .

Taarifa zaidi zinadokeza kwamba Leicester city walishaamua kumpa mkataba mpya na kumuongezea mshahara hadi kufikia paundi laki 1 kwa wiki , lakini inasemekana kante mwenyewe aliamua kuondoka ili kutafuta changamoto mpya .
 
Reactions: Lee
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…