Chemba ya wanaume: Vitu ambavyo ni marufuku mwanaume wa Dar na wa mikoani kumuomba mwanamke

Chemba ya wanaume: Vitu ambavyo ni marufuku mwanaume wa Dar na wa mikoani kumuomba mwanamke

Mr. MTUI

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2013
Posts
8,130
Reaction score
8,362
1. Kiss
Kwanini uombe mwanamke akukisi. Ni wajibu wake kukukis sasa kwanini unajilainisha lainisha.. Bebi naomba unikis huo ni ushamba. wajibu wake kukikis. Tabia zenu za kuomba omba kukisiwa zinasababisha wanawake wajisikie sana
2. Kuomba kutafutwa
Kwanini wewe uombe kutafutwa.mwanaume unapaswa kutafuta pesa yy inampasa kukutafuta iwapo ww umesahau kumtafuta.. Achana na hzo tabia za kulia lia.. Ooooh, siku hizi hunitafuti, acha uboya.
3. Kumtafuta mtu aliyekupotezea..
Huu ni uboya wa hali ya juu.. Vp unakua laini kila siku umtafute wewe..utasikia beb naomba nikutafute.. kwan ww umekua customer care.. Embu onyesha umuhim wako faza.
4. Kumuomba ajibu msg zako...
Hii ni weekness ambayo ukiiendekeza itakutafuna mifupa. Umemtumia manzi msg yy kasoma ameona ni upuuzi kaamua kukaa kimya.. Vp ww umuombe akasome msg ulomtumia.. Kama umemtumia ni lazima atasoma tu bila ataya kumuomba
Itaendelea..
5. Kuomba wishes sijui za besidei sijui za nini.. Wengine wanataka hadi kupostiwa.. Mwanaume unaomba wishes ili iweje... Fanya kazi acha ufala, cc Georgie Jr
6. Kupiga magoti na kumuomba mwanamke akuoe.. 'will you marry me' achana na huu uboya cc Andie
 
1. Kiss
Kwanini uombe mwanamke akukisi. Ni wajibu wake kukukis sasa kwanini unajilainisha lainisha.. Bebi naomba unikis huo ni ushamba. wajibu wake kukikis. Tabia zenu za kuomba omba kukisiwa zinasababisha wanawake wajisikie sana
2. Kuomba kutafutwa
Kwanini wewe uombe kutafutwa.mwanaume unapaswa kutafuta pesa yy inampasa kukutafuta iwapo ww umesahau kumtafuta.. Achana na hzo tabia za kulia lia.. Ooooh, siku hizi hunitafuti, acha uboya.
3. Ntaendelea
Hizi kanuni ni za kwako wewe peke yako sio lazima zifuatwe na wanaume wote.

Kila mmoja ana Namna yake ya "kuendesha" mapenzi kwa Mpenzi wake.
 
Hizi kanuni ni za kwako wewe peke yako sio lazima zifuatwe na wanaume wote.

Kila mmoja ana Namna yake ya "kuendesha" mapenzi kwa Mpenzi wake.
Wewe utakua mwanaume wa Tanga mkuu. Onyesha Unjatrumen buanaaaaa
 
1. Kiss
Kwanini uombe mwanamke akukisi. Ni wajibu wake kukukis sasa kwanini unajilainisha lainisha.. Bebi naomba unikis huo ni ushamba. wajibu wake kukikis. Tabia zenu za kuomba omba kukisiwa zinasababisha wanawake wajisikie sana
2. Kuomba kutafutwa
Kwanini wewe uombe kutafutwa.mwanaume unapaswa kutafuta pesa yy inampasa kukutafuta iwapo ww umesahau kumtafuta.. Achana na hzo tabia za kulia lia.. Ooooh, siku hizi hunitafuti, acha uboya.
3. Ntaendelea
interesting tell us more please
 
1. Kiss
Kwanini uombe mwanamke akukisi. Ni wajibu wake kukukis sasa kwanini unajilainisha lainisha.. Bebi naomba unikis huo ni ushamba. wajibu wake kukikis. Tabia zenu za kuomba omba kukisiwa zinasababisha wanawake wajisikie sana
2. Kuomba kutafutwa
Kwanini wewe uombe kutafutwa.mwanaume unapaswa kutafuta pesa yy inampasa kukutafuta iwapo ww umesahau kumtafuta.. Achana na hzo tabia za kulia lia.. Ooooh, siku hizi hunitafuti, acha uboya.
3. Ntaendelea
Kuna kaukweli hapa...endelea mkuu
 
Ni uboya pia mwanaume kupia magoti unapomvalisha pete mwanamke. Acha ujinga unajikokea moto waja kudharauliwa. Na kwanini upige magoti, unambembeleza ili iweje wakati mwanamke aliumbwa kwa ajili yako mzee baba.
 
Naona wanaume wa dar mmeamua kupeana darasa humu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kuna baadhi ya wanaume sijui ndio wa dar.. upenda sana kulilia likes na wishez , mfano akiwa na birthday usipo mpost WhatsApp au insta ananuna mwezi mzima ...wanaboa sana
Ha haaaa. Hii kali
 
Back
Top Bottom