love love love...huyu inabidi afungue hapaYou ? Falling kwa kivuli cha mtu? mh
kama ukiwa unasoma thread tu unataka kum-Woua huyo mwandikaji,Waungwana
Nimesoma sana post za hili jukwaa la mapenzi kiasi kwamba napata kwamba ni rahisi sana kwa wanajamvi kufikia hisia za mapenzi!!!
Yaani jana wakati napitia thread humu, i definitely felt emotionally to Mwanadada mmoja simply kwa kuangalia post zake na hoja za nguvu na avatar yake
Na hii inakuwa very relevant hasa pale ambapo mtu una matatizo yako home au shule au job
DO you feel the same way??
Nahisi utakuwa umefall kwa first lady...angalia asije akawa mwanume mwenzako hii JF bwana we acha tu.
Anahitaji maombi huyu!
kama ukiwa unasoma thread tu unataka kum-Woua huyo mwandikaji,
Sasa ukipita njiani na kumwona demu swafi si unanyakua tu?
na mara ngapi unakuwa na matatizo?
Hilo nalo tatizo!!
Jamani huyu jamaa wala hahitaji maombi.Ni kawaida kwa watu kufall in love kwa dizaini hii...Kuna circumstances nyingine unaweza ukashangaa,tukiambaana humu ndani kila mtu aeleze alivyompata mwenzi wake utaacha mdomo wazi....mwacheni aexpress feelings zake....au umesahau ule wimbo wa Boys to Men wa I Knew I loved Before I met You
Yani hujanielewa... hii sio tatizo kwani ku-admire mtu si tatizo... ninachouliza je kuna watu ambao kwa kusoma tu humu JF wanaingiwa kiwewe na mtu mwingine hasa wa jinsia tofauti??
Nasema hivyo kwasababu kuna post za wanawake humu huwa zinanifanya nihisi wanajua natakacho
kama hilo ni kosa basi... i dont wanna be right!!
Nahisi utakuwa umefall kwa first lady...angalia asije akawa mwanume mwenzako hii JF bwana we acha tu.
hapana, congatulation wewe kwa hiloDO you feel the same way??
Nasema hivyo kwasababu kuna post za wanawake humu huwa zinanifanya nihisi wanajua natakacho
Unajua kwa uhakika wa asilimia 100 kuwa hao ni wanawake?
vipi ukiambiwa mwanajamii one ni mwanaume tena injinia wa mlimani tena anaenda gym kila siku utasemaje?