Chemistry pratical ndogo wanayotumia waganga wa kienyeji kutapeli watu. Simba walidanganywa nayo South Africa kwenye CAF

Chemistry pratical ndogo wanayotumia waganga wa kienyeji kutapeli watu. Simba walidanganywa nayo South Africa kwenye CAF

MKATA KIU

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
3,410
Reaction score
8,184
Habari wadau.

Leo tujifunze moto wa maajabu ambao waganga wengi wanautumia kutapeli watu wakijifanya moto huo umeletwa na nguvu zao za uganga.

Waganga wanachukua pottassium permanganate sababu wateja wao hawaijui wanawadanganya ni dawa ya mizizi ya kiuganga.. kisha wanainyunyuzia na Grycerin.. hapo baada ya muda ni lazima mlipuko utokee.. hapo waganga wanajifanya mlipuko huo umetokana na uchawi ama nguvu zao za kiuganga.

Nimekumbuka mechi ya Simba vs Orlando pirates CAF shirikisho..simba walifanya dawa ya moto uwanjani ili wapate ushindi. Bila kujua Kumbe walipewa practical ya Chemistry tu na mganga wa kienyeji.

Mwisho wa siku wakafungwa dawa ya mganga haijafanya kazi.

Tazama video hii utaelewa vizuri.

Kwa wanaopenda kujaribu waende kwenye maduka ya dawa za tiba asili wataona zinauzwa..




Tazama mganga manyau nyau anavyotumia hii chemistry practical kutapeli watu. Alivyo mjanja anapiga na vidua juu yake ili mteja ajue dua ndio zinawasha moto huo

 
Wewe muongo, mbona caf walipima na wakathibitisha ule ni uchawi, kwahiyo hata huko caf hakuna wataalam wa hiyo kemia?
 
Wewe muongo, mbona caf walipima na wakathibitisha ule ni uchawi, kwahiyo hata huko caf hakuna wataalam wa hiyo kemia?

Weka uthibitisho kama caf walipima uchawi na kuuthibitisha ? Caf walipima uchawi kwa kipimo gani ama mzani gani ?

Simba mbumbumbu ndio maana mganga aliwapa sample za chemistry practical na kuwapiga simba hela zao . Kama ni uchawi kweli una nguvu mbona simba hawakushinda mechi hiyo ?
 
Sema upewe connection ujihakikishie kuwa kuna wakali wa hizi kazi.
 
Weka uthibitisho kama caf walipima uchawi na kuuthibitisha ? Caf walipima uchawi kwa kipimo gani ama mzani gani ?

Simba mbumbumbu ndio maana mganga aliwapa sample za chemistry practical na kuwapiga simba hela zao . Kama ni uchawi kweli una nguvu mbona simba hawakushinda mechi hiyo ?
Wacha kushupaza shingo kipuuzi. Simba walitozwa fine kwa kufanya vitendo vya kishirikina uwanjani, kwahiyo caf waliwatoza Simba fine bila kujiridhisha?

Halafu Simba kutoka shinda, jua hata uchawi unazidiana.
 
Wacha kushupaza shingo kipuuzi. Simba walitozwa fine kwa kufanya vitendo vya kishirikina uwanjani, kwahiyo caf waliwatoza Simba fine bila kujiridhisha?

Halafu Simba kutoka shinda, jua hata uchawi unazidiana.

Vitendo vya kishirikina havimaanishi kama mganga hajawatapeli . Hata wewe ukivua nguo kisha ukakaa juu ya ungo. Watu watasema unafanya vitendo vya kishirikina. Huku uhalisia umekaa tu huna maajabu yoyote unayofanya
 
Ingekua ushirikina kweli kipindi kile Simba angefuzu nusu fainali
 
Habari wadau.

Leo tujifunze moto wa maajabu ambao waganga wengi wanautumia kutapeli watu wakijifanya moto huo umeletwa na nguvu zao za uganga.

Waganga wanachukua pottassium permanganate sababu wateja wao hawaijui wanawadanganya ni dawa ya mizizi ya kiuganga.. kisha wanainyunyuzia na Grycerin.. hapo baada ya muda ni lazima mlipuko utokee.. hapo waganga wanajifanya mlipuko huo umetokana na uchawi ama nguvu zao za kiuganga.

Nimekumbuka mechi ya Simba vs Orlando pirates CAF shirikisho..simba walifanya dawa ya moto uwanjani ili wapate ushindi. Bila kujua Kumbe walipewa practical ya Chemistry tu na mganga wa kienyeji.

Mwisho wa siku wakafungwa dawa ya mganga haijafanya kazi.

Tazama video hii utaelewa vizuri.

Kwa wanaopenda kujaribu waende kwenye maduka ya dawa za tiba asili wataona zinauzwa..

View attachment 3045339


Tazama mganga manyau nyau anavyotumia hii chemistry practical kutapeli watu. Alivyo mjanja anapiga na vidua juu yake ili mteja ajue dua ndio zinawasha moto huo

View attachment 3046560


Manyau nyau katajirika kwa kutapeli watu. Kuna kipindi alikuwa na madala dala kibao
 
Back
Top Bottom