S seminarian Member Joined Jun 8, 2024 Posts 24 Reaction score 26 Sep 27, 2024 #1 Uzi maalum wa Wakemia wasionaajira, wanaotafuta kazi na waajira hata wanafunzi wakemia karibuni tupeane connection.
Uzi maalum wa Wakemia wasionaajira, wanaotafuta kazi na waajira hata wanafunzi wakemia karibuni tupeane connection.
Mechanic 97 JF-Expert Member Joined Feb 6, 2021 Posts 854 Reaction score 1,296 Sep 30, 2024 #2 seminarian said: Uzi maalum wwa wakemia wasionaajira,wanaotafuta kaz na waajira hata wanafunzi wakemia karibuni tupeane connection Click to expand... Kumbe mnaatafuta kazi nikajua mnataka kuchangiana mawazo ya kujiajiri basi ngoja ni sicomment
seminarian said: Uzi maalum wwa wakemia wasionaajira,wanaotafuta kaz na waajira hata wanafunzi wakemia karibuni tupeane connection Click to expand... Kumbe mnaatafuta kazi nikajua mnataka kuchangiana mawazo ya kujiajiri basi ngoja ni sicomment
ngweina j New Member Joined Nov 13, 2022 Posts 1 Reaction score 0 Dec 21, 2024 #3 Kama kuna mkemia anae jua maswala ya pombe anitafte 0740114393
J jamesemm Senior Member Joined Dec 24, 2024 Posts 116 Reaction score 105 Dec 24, 2024 #5 ngweina j said: Kama kuna mkemia anae jua maswala ya pombe anitafte 0740114393 Click to expand... Nipo mkuu hapa.nafaham vizuri kutengeneza brand zote yan konyagi,kvant,value, vodica,zanzi ,n.k pia bila kusahau wine
ngweina j said: Kama kuna mkemia anae jua maswala ya pombe anitafte 0740114393 Click to expand... Nipo mkuu hapa.nafaham vizuri kutengeneza brand zote yan konyagi,kvant,value, vodica,zanzi ,n.k pia bila kusahau wine