Chemsha akili upate jibu sahihi

EMEDNEY

Member
Joined
Sep 20, 2012
Posts
72
Reaction score
38
Chemsha akili yako unipe jibu la swali hili. Chemsha bongo, nicheupe kama barafu na Ni cheusi kama giza, kuliwa ni HARAMU na kunywa ni HALALI, kina herufi (5) na kinaanza na herufi (M) Kinatumiwa na wanaume mara tatu kwa siku na kinatumiwa na wanawake mara moja katika umri wao, Je, ni kitu gani hicho?
 
duh hiyo si nanihii hiyo! Naijua tu.! M...
 
Jibu ni MFANO

Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
 
Jibu ni MFANO

Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
Hebu tiririka dada, MFANO ukunywaje, wanaume wanautumiaje mara tatu kwa siku, je wanawake wanautumiaje mara moja kwa maisha yao, hebu funguka mamaaa!
 
Mkuu nimeshemsha akili mwisho nimejisahau hadi imeungua, hebu tupe jibu sisi wengine tuliokimbia darasani kipindi cha kiswahili
 
Hebu tiririka dada, MFANO ukunywaje, wanaume wanautumiaje mara tatu kwa siku, je wanawake wanautumiaje mara moja kwa maisha yao, hebu funguka mamaaa!

Waheed nsaidie basi me ndo nimebahtisha

Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
 
Hapa wote tumechemka hebu tupe jibu.
 
Huyu jamaa mwizi tu achana naye haonekani hata kujibu post za watu inaonekana tu alitaka kuwachosha watu pole sana ndugu zangu mi hapa nahama narudi jukwaa la gospel na education
 
Huyu jamaa mwizi tu achana naye haonekani hata kujibu post za watu inaonekana tu alitaka kuwachosha watu pole sana ndugu zangu mi hapa nahama narudi jukwaa la gospel na education

Searching...100%
Loading...100%
Network Connected !

Near by Simike Mbeya
 
yaan mie nimemsubir aje atoe jib hajitokez, sijui kaenda kupiga mambo yetu yale!!!

hakuna kitu km hicho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…