Chemsha bongo MMU....

Basi kumbe hata wewe hujui!

Shauri zako, we ngalia flaizi ya suruwale ujidanganye.....


hivi Babu, wale wenye mabusha nao kuna haja ya,
kuangalia fraizi ya suruali zao?
 
Nadhani Madada watusaidie maana Nyie ndio mwajua mnacho angalia kwetu.......
 
Sio vizuri kutukimbiza MMU kwa kutaka kuchemsha bongo zetu zenye hangover....
Jamani mama ntililie wako mbali ..Hiyo supu mpaka uipate imepoa...Embu chemsha bongo hangover ipungue..
 
We nawe chemsha bongo tupo redio wani hapa?!Jibu najua ila sitoi mpaka utangaze zawadi!
 
Basi kumbe hata wewe hujui!Shauri zako, we ngalia flaizi ya suruwale ujidanganye.....
Hahahaha lol babu Acha kunichekesha..Napenda kukupa hii hint si kituchochote kuhusiana na mavazi ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…