Chemsha bongo MMU....

Rejao na Ezani.
Samahani jamani..
Hapana
 
Ha ha ha ha ha jamani mambo gani tena ya kupeana mitihani asubuhi subuhi hiii ha ha ha mie nakupa mji wa Babati
Hahahahaha we angalia ulivyo mchokizi..Mmmhhh unaujua mji niupendao..Lakini leo staki hahahahaa lol
 
Ha ha ha ha ha jamani mambo gani tena ya kupeana mitihani asubuhi subuhi hiii ha ha ha mie nakupa mji wa Babati
Hahahahaha we angalia ulivyo mchokozi..Mmmhhh unaujua mji niupendao..Lakini leo staki hahahahaa lol
 
Asilimia 40 (40%) ya wasichana wanaangalia naKupenda ..Hiki ............ kabla ya kudate mwanaume..JE ni nini?? Waweza hisia mara nyingi upendavyo..All the best ...
mmmmh! kweli hii chemsha bongoo! nikupe mji?
 
hahahaaaaaahhh...kumbe tunakutanaga kila siku...hahaaaaaahh..unatumiaga benki gani hapa? ...au basi tusimwage mcheleeee kwanza
Hahahahaha Usikute tumewahi gongana pale " tabasam"Hahahahahaha lolz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…