EmanuelSTZ
Member
- Sep 4, 2024
- 77
- 111
Mbona umeaga mapema Kabla hata haujajibiwa au ndio umesalimia tena😜muwe na siku njema
Kingeleza ndio kinini?Waislam: Salamlykum ~Wakirsito:Bwana Yesu asifiwa
Wanajukwaa Ninachemsha bongo hapa nataka tujadiri kwa pamoja mpaka tupate jibu
swali🙁nineno gani la kiingereza lenye herufi 26 lakini lina silabi tatu tu)naimani tutapata jibu sahihi tu kuna wataalam wengi sana humu
MWENYEZI MUNGU AMUBARIKI KILA MMOJA WETU
muwe na siku njema
Sema anatoka ghetton kwang kucheck movie
Mbona umeaga mapema Kabla hata haujajibiwa au ndio umesalimia tena
kwani ndugu yangu hujaelewa nini hapoKingeleza ndio kinini?
dar hii dunia ina maajabu haya mana yake nini hapoNeno la Kiingereza lenye herufi 26 na silabi tatu ni "antidisestablishmentarianism."
HornorificalibilinitudityWaislam: Salamlykum ~Wakirsito:Bwana Yesu asifiwa
Wanajukwaa Ninachemsha bongo hapa nataka tujadiri kwa pamoja mpaka tupate jibu
swali🙁nineno gani la kiingereza lenye herufi 26 lakini lina silabi tatu tu)naimani tutapata jibu sahihi tu kuna wataalam wengi sana humu
MWENYEZI MUNGU AMUBARIKI KILA MMOJA WETU
muwe na siku njema
mbona naona herufi nane au sijaelewa nielewesheAlphabet
AU BASI SIWEZI HATA KULISOMA YANIHornorificalibilinitudity
Sio kuelewa, tunataka usahihikwani ndugu yangu hujaelewa nini hapo
Alphabet ziko ngapi?mbona naona herufi nane au sijaelewa nieleweshe