Nakumbuka mtihani wa darasa la saba unaanza kama masihara hivi?:-
19+ 87 =
219 - 45 =
12 x 34 =
59/7=
...........
Afu huko mbele sasa kuanzia swali la sita na saba hivi, unajuutaa:
Ndege inatoka Dar saa tatu kwenda Chato na VX nalo linatoka Chato saa nane kwenda Dar.
ikiwa spidi ya ndege ni 350km/kwa-lisaa, na speed ya VX ni 250/kwa-lisaa. Umbali wa chato- Dar ni km 900; je zitakutana wapi na saa ngapi???
Sa mi ntajuaje?
Na hizi tochi zote za barabarani, matuta, kuchimba dawa na kunywa chai???