<br />Nguo inauzwa shilingi elfu 10,000 wewe huna pesa, ukaamua kukopa kwa dada yako sh. 5,000 na kwa kaka sh. 5,000 ukapata elfu 10,000.<br />
Ukaenda kugalaliza na kununua kwa sh. 9,700 ukarudishiwa sh. 300, ukaamua kupunguza deni ukatoa sh. 100 kwa kaka na sh. 100 kwa dada ukabaki na sh. 100. Hivyo ikawa unadeni kwa dada 4900 na kwa dada elfu 4,900. jumla 4800 ukijumlisha na mia iliyobaki unapata 9,900<font color="#ff0000"> je shilingi 100 nyingine iko wapi?</font>
Soma vizuri swali weye hujafikia hii level subiri ya kwako level 1<br />
<br /
chemsha bongo ya level gan? kama ulipunguziwa 300 na kulipa 9700 maana yake unadaiwa 4850 na kila mmoja na sio 4900_
<br />Nguo inauzwa shilingi elfu 10,000 wewe huna pesa, ukaamua kukopa kwa dada yako sh. 5,000 na kwa kaka sh. 5,000 ukapata elfu 10,000.<br />
Ukaenda kugalaliza na kununua kwa sh. 9,700 ukarudishiwa sh. 300, ukaamua kupunguza deni ukatoa sh. 100 kwa kaka na sh. 100 kwa dada ukabaki na sh. 100. Hivyo ikawa unadeni kwa dada 4900 na kwa dada elfu 4,900. jumla 4800 ukijumlisha na mia iliyobaki unapata 9,900<font color="#ff0000"> je shilingi 100 nyingine iko wapi?</font>
ukae ukijua hapo imebakia ile mia ulioichukua wewe..
CHEMSHA AKILI.
Nguo inauzwa sh. 10,000 we huna pesa, ukaamua kukopa kwa dada yako sh. 5000 na kwa kaka sh. 5000 ukapata sh. 10,000. Ukaenda kugalaliza na kununua kwa sh. 9,700 ukarudishiwa sh. 300. Ukaamua kupunguza deni. Ukatoa sh. 100 kwa kaka na 100 kwa dada, ukabaki na 100. Hivyo ikawa una deni kwa kaka 4900 na dada anadai 4900, ukijumlisha ya kaka 4900 na dada 4900 unapata 9800 Ukiongeza na ile 100 ya kwako, inakua 9900. Je, 100 imekwenda wapi?