Chemsha bongo: Shilingi 100 iko wapi?

Jamaa hapo kachanganya mambo. Mia ya kwenye deni unatakiwa uwalipe sio kukaa nayo
 
make use of BODMAS,
ulipokopa utakuwa unadaiwa -5000 @,uliporudisha mia kwa kila mmoja u add 2get -4900@ as a remaing debt.then total debt -9800.then from 10000 u spent 9700.ukijumlsa -9800+9700 u get -100 ambayo u hv it,.o rem u had 300 u paid 200 total, u remaind wit 100.
 
Embu chemsheni akili wadau..Nguo inauzwa 10000,Ww hauna ukaamua kukopa 5000 kwa kaka yako na 5000 kwa dada yako.Ulipoenda kununua ukaongea na muuzaji hadi akakuuzia kwa 9700, ukabakia na 300 ukaamua kupunguza deni ukamlipa dada yako 100 na kaka yako 100,mia ukabakia nayo mwenyewe kwa hiyo dada akawa anakudai 4900 na kaka 4900 jumla 9800 ukijumlisha na mia uliyobakinayo utapata 9900.Je 100 imeenda wapi ili zifikie 10000?
 
Nguo inauzwa dukani 10,000 wewe huna hela ukaamua kwenda kukopa kwa dada yako shilingi 5000 na kwa kaka yako shilingi 5000 ukawa na shilingi 10,000 ukaenda kwa anaye uza nguo ukapatana nae shilingi 9,7000 na ukarudishiwa shilingi 300 na ukaamua kupunguza deni kwa kaka 100 na dada 100 na ukabakia na 100 kwa hiyo deni la dada 4900 na deni la kaka 4900 ukijumlisha 9800 ukiongezea na ela ulio baki nayo 100 inakua 9900 je 100 kiko wapi ????????
 

Sasa wewe unabaki na pesa kwa sababu gani??? Kama umeamua kuwarudishia kilichobaki mpe kila mmoja sh. 150 uone kama utapata tatizo unalopata sasa. Tatizo lako unasumbuliwa na tamaa. Mia unayoificha itakusaidia nini? Haya una swali lingine Mheshimiwa???
 

hahhaaha u made my day,hata hivyo ni swali la zamani sana naona mdau ndio amekutana nalo leo.
 
Asante kwa kuongeza siku zangu za kuishi


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Ucwe mjinga kiasi hicho Jua utakapo rudisha tsh.100 kwa dada yako na tsh. 100 kwa kaka yako basi dada yako atakuwa amekupa tsh.4900 na kaka yako tsh.4900 jumula hela uliyo kopa ni tsh. 9800.na kama nguo itauzwa tsh. 9700 basi utabaki na tsh 100 haya nambie kwan hela ulizo rudisha kupunguza den zilikuwa zako au nazo ulikopa
 
Ucwe mjinga kiasi hicho . utakapo rudisha tsh.100 kwa
dada yako na tsh. 100 kwa
kaka yako basi dada yako
atakuwa amekupa tsh.4900 na
kaka yako tsh.4900 jumula hela
uliyo kopa ni tsh. 9800.na kama
nguo itauzwa tsh. 9700 basi
utabaki na tsh 100 haya
nambie kwan hela ulizo rudisha
kupunguza den zilikuwa zako
au nazo ulikopa
 

Jibu chochote ufikiriacho
 
Una matatizo ya hesabu za hasi na chanya bila shaka Madeni ya dada na kaka ni hasi (-9800) Jumlisha na fedha uliyonayo mkononi (Chanya) (100) unapata ngap?, Hesabu za daraza la tatu hizi...-9800 + 100 = 9700...
 
Una matatizo ya hesabu za hasi na chanya bila shaka Madeni ya dada na kaka ni hasi (-9800) Jumlisha na fedha uliyonayo mkononi (Chanya) (100) unapata ngap?, Hesabu za daraza la tatu hizi...-9800 + 100 = 9700...

rekebisha hapo mwishoni kidogo..
-9800 + 100= -9700 na sio 9700
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…